TANESCO kukata umeme Xmas ni ukaidi ama ndiyo wako juu ya Serikali

TANESCO kukata umeme Xmas ni ukaidi ama ndiyo wako juu ya Serikali

Mzalendo07

Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
71
Reaction score
120
Wamedharau maombi ya CCM na Viongozi wengine wote na wakijuwa kwa dhati yanatoka kwa Rais.

Bora wangewapa Waarabu TANESCO na sio Bandari.

Na wakawafukuza watu wote wa TANESCO, WOTE naamaanisha wote hasibaki ata dereva.
 
Sasa walinz unatusagia kunguni, tumefenyej kaz yetu sisi kufungua geti
 
Back
Top Bottom