KERO TANESCO kuna shida gani Kigamboni eneo la kuanzia kwa Mwingira mpaka Maweni mnakata kila siku

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Tanesco tunaomba mtupe taarifa rasmi wakazi wa Kigamboni kuna shida gani mnakata umeme kila siku bila ratiba yoyote ili kufanya na sisi wananchi tujipange kuwa kuna mgao maana mnakata umeme saa 3 asubuhi mpaka jioni halafu mnakata saa 2 usiku mpaka asubuhi. Huu mgao wa aina gani na ni kipande cha kutoka kwa Mwingila mpaka Maweni tu

Tunaomba ufafanuzi wananchi
 
Kweli kabisa kigamboni tu mayatima... Hapa tungi sikunzima umeme haukwepo umerudi saa 5 usiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…