KERO TANESCO kuna shida gani mpaka niambiwe nina deni la Tsh 18,000 kwa mita iliyofungwa Septemba 2023?

KERO TANESCO kuna shida gani mpaka niambiwe nina deni la Tsh 18,000 kwa mita iliyofungwa Septemba 2023?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Nimejaribu kununua umeme Leo wa TSH 5000 naambiwa nadaiwa deni kubwa kuzidi hiyo pesa siwezi pewa tokeni

Na mwezi uliopita nimenunua wamekata pesa yao ya jengo 1500.

Nimepiga huduma kwa wateja naambiwa nadaiwa deni la MIEZI 12 sawa na Tsh. 18,000 hivyo ni nunue wa elfu 20. Mita yenyewe haina hata mwaka imefungwa mwezi wa 9 2023.

Pia soma

UFAFANUZI:

 
Nimejaribu kununua umeme Leo wa TSH 5000 naambiwa nadaiwa deni kubwa kuzidi hiyo pesa siwezi pewa tokeni

Na mwezi uliopita nimenunua wamekata pesa yao ya jengo 1500.

Nimepiga huduma kwa wateja naambiwa nadaiwa deni la MIEZI 12 sawa na Tsh. 18,000 hivyo ni nunue wa elfu 20. Mita yenyewe haina hata mwaka imefungwa mwezi wa 9 2023.

Pia soma
Kodi ya jengo 2023/24 ungeweka mita 202425 yaani kuanzia mwezi huu wa saba usingedaiwa malimbikizo, lipa hela yetu au vipi hamia Kenya.
 
Nimejaribu kununua umeme Leo wa TSH 5000 naambiwa nadaiwa deni kubwa kuzidi hiyo pesa siwezi pewa tokeni

Na mwezi uliopita nimenunua wamekata pesa yao ya jengo 1500.

Nimepiga huduma kwa wateja naambiwa nadaiwa deni la MIEZI 12 sawa na Tsh. 18,000 hivyo ni nunue wa elfu 20. Mita yenyewe haina hata mwaka imefungwa mwezi wa 9 2023.

Pia soma
Pole sana aisee, na mimi nilinunua umeme juzi nikakatwa 2,000.
 
Nimejaribu kununua umeme Leo wa TSH 5000 naambiwa nadaiwa deni kubwa kuzidi hiyo pesa siwezi pewa tokeni

Na mwezi uliopita nimenunua wamekata pesa yao ya jengo 1500.

Nimepiga huduma kwa wateja naambiwa nadaiwa deni la MIEZI 12 sawa na Tsh. 18,000 hivyo ni nunue wa elfu 20. Mita yenyewe haina hata mwaka imefungwa mwezi wa 9 2023.

Pia soma
na bado.....!!
 
Hivi kutakuwa kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia, huku wananchi tukiwa hatujui. Haiwezekani haya malalamiko yatawale kila kona.
 
Najua yanayoendelea yanaumiza ila hatuna cha kufanya. Au nasema uongo ndugu zangu Watanzania Waoga?
 
Hiyo sio kwako tu ndugu, ni wengi sana tunakumbana na hizi KERO, yaani na Mimi imenikuta hiyo zaidi ya mara mbili, na huku umeme nanunua Kila mwezi, je hizo zinazokatwa zinaenda wapi, na hilo deni latokea wapi??
 
Back
Top Bottom