Mabadiliko yapo,kwa mwezi hua nanunua umeme wa alfu 40 lkn mtindo wa alfu 20, ukiisha na nunua tena 20. Lkn kwa mwezi huu nahisi sitaweza nunua hivyo maana nilipo nununua last week nilipata unit 56.2 kwa alfu 20 badala ya unit 36 za awali..
Hapana nahisi nitaongeza wa aldu 10 tu nitoboe mwezi.