Tanesco lini mnatoa ratiba ya mgao......?

Tanesco lini mnatoa ratiba ya mgao......?

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Tatizo ni nini mnogopa kutoa ratiba ya mgao au inakuaje watanzania hatuelewi mnatuchosha jamani...hii mambo ya asubuhi mpaka jioni kimya kimya inaumiza sana ,sijui nyie mnaishi uswahilini au kwenu hamna haya matatizo.
 
Jamani kweli tangu jana na leo tena wamekata...
hapa ndo umuhimu wa stress free zone unapoonekana!
 
Back
Top Bottom