Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Sisi wenye macho ya fursa tumeona ipo fursa hapa.
Imagine unaanzisha live betting ya kukatika kwa umeme.
Masharti ni mkeka unawekwa kila siku saa sita kamili usiku.
Mkeka unadumu masaa 24.
Mteja anatakiwa kubashiru mahali alipo Umeme utakatika mara ngapi kwa siku.
Kiwango cha kuweka kwenye mkeka kinaanzia tsh 500,na kuendelea
Odds ziwe kama hivi
1. Umeme utakatika mara moja =×10
2.Umeme utakatika zaidi ya mara moja lakini sio zaidi ya mara 3=×25
3.Umeme utakatika zaidi ya mara moja lakini sio zaidi ya mara 5 =× 50
4.Umeme utakatika zaidi ya mara 5 lakini sio zaidi ya mara 8=×75
5.Umeme utakatika zaidi ya mara 8=×80
6.Umeme utakatika siku nzima=× 200
Nitaweka mawakala kila wilaya kudhibiti udanganyifu.
Mfano mtu akaweka tsh elfu 10,000 akasema umeme utakatika siku nzima atajishindia tsh 10,000× 200= tsh 2,000,000/=
Mnaonaje hili wazo,je sheria inaruhusu?, Brela watakubali?
Karibuni kwa maoni na ushauri
Mwisho kabisa nimshukuru mama kuniwezesha kuandika hapa.
Imagine unaanzisha live betting ya kukatika kwa umeme.
Masharti ni mkeka unawekwa kila siku saa sita kamili usiku.
Mkeka unadumu masaa 24.
Mteja anatakiwa kubashiru mahali alipo Umeme utakatika mara ngapi kwa siku.
Kiwango cha kuweka kwenye mkeka kinaanzia tsh 500,na kuendelea
Odds ziwe kama hivi
1. Umeme utakatika mara moja =×10
2.Umeme utakatika zaidi ya mara moja lakini sio zaidi ya mara 3=×25
3.Umeme utakatika zaidi ya mara moja lakini sio zaidi ya mara 5 =× 50
4.Umeme utakatika zaidi ya mara 5 lakini sio zaidi ya mara 8=×75
5.Umeme utakatika zaidi ya mara 8=×80
6.Umeme utakatika siku nzima=× 200
Nitaweka mawakala kila wilaya kudhibiti udanganyifu.
Mfano mtu akaweka tsh elfu 10,000 akasema umeme utakatika siku nzima atajishindia tsh 10,000× 200= tsh 2,000,000/=
Mnaonaje hili wazo,je sheria inaruhusu?, Brela watakubali?
Karibuni kwa maoni na ushauri
Mwisho kabisa nimshukuru mama kuniwezesha kuandika hapa.