TANESCO mnachelewa sana kuleta nguzo kwa tunaohitaji

TANESCO mnachelewa sana kuleta nguzo kwa tunaohitaji

ismaili sogora

New Member
Joined
May 24, 2024
Posts
4
Reaction score
3
Kucheleweshea wateja wa service line wanaohitaji nguzo imekuwa changamoto sana kwetu wateja

Sababu kubwa ikiwa ni upungufu wa vifaa.

Kweli wasimamizi wa taasisi mmeshindwa kulisimamia hili jambo au shirika limezidiwa?
 
Kucheleweshea wateja wa service line wanaohitaji nguzo imekuwa changamoto sana kwetu wateja

Sababu kubwa ikiwa ni upungufu wa vifaa.

Kweli wasimamizi wa taasisi mmeshindwa kulisimamia hili jambo au shirika limezidiwa?
mkuu mimi nimelipia tangu mwezi wa tatu hadi leo naambiwa nguzo hakuna
yaani hata sielewi, why waniambie nilipie wakati hawana vifaa
 
Back
Top Bottom