ismaili sogora
New Member
- May 24, 2024
- 4
- 3
Kucheleweshea wateja wa service line wanaohitaji nguzo imekuwa changamoto sana kwetu wateja
Sababu kubwa ikiwa ni upungufu wa vifaa.
Kweli wasimamizi wa taasisi mmeshindwa kulisimamia hili jambo au shirika limezidiwa?
Sababu kubwa ikiwa ni upungufu wa vifaa.
Kweli wasimamizi wa taasisi mmeshindwa kulisimamia hili jambo au shirika limezidiwa?