TANESCO mnamsagia kunguni Rais Samia

TANESCO mnamsagia kunguni Rais Samia

Vito Corleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
2,418
Reaction score
5,257
Tanesco ni taasisi useless sana hapa nchini.

Umeme mnakatakata Kila mnapojiskia, mnasingizia mvua.

Mvua Sasa inagonga ya kutosha mnasingizia nguzo.

Kila siku sehemu niliyopo lazima mkate na mbaya zaidi hamna fomula mnakata mnavyojiskia,bila kujua huo umeme hatuutumia tu kuchaji simu Bali ni maisha yetu.

Fikiria kinyozi kama Mimi mnakata umeme saa 12 asubaa Hadi saa nne usiku inamaana nakula vichwa saangapi?

Mtaani Kila mtu anamlauma mama,huku wengine wakisema watahukumu kwenye boksi la kura ila Mimi nipo tofauti kidogo.

Nahisi Kuna Kila dalili Hawa tanesco wanafanya kusudi Ili kumsabotage mama,au wanatumika.

Watanzania tuone mama hafai wakati Kuna mizigo inayopokea mshahara Kwa Kodi zetu inachojua ni kukinga mwisho wa mwezi.

Inaniuma wiki ya nne Sasa hivi sijakamata buku 5 ya pamoja.

Upuuzi mtupu.
 
Pole mkuu, Mama hana baya.
Hana baya kivipi yeye ndiyo mkuu na yeye ndiyo finel say,kwa hiyo ni kiziwi au nikipofu hasikii au haoni kilio cha wana inchi wake, ana shindwa kuchukua hatua?
 
Tanesco tanesco,taaaaanesco nimewaita mara tatu maana ni taasisi useless sana hapa nchini.
Umeme mnakatakata Kila mnapojiskia,mnasingizia mvua.
Mvua Sasa inagonga ya kutosha mnasingizia nguzo.
Kila siku sehemu niliyopo lazima mkate na mbaya zaidi hamna fyomula mnakata mnavyojiskia,bila kujua huo umeme hatuutumia tu kuchaji simu Bali ni maisha yetu.
Fikiria kinyozi kama Mimi mnakata umeme saa 12 asubaa Hadi saa nne usiku inamaana nakula vichwa saangapi?

Mtaani Kila mtu anamlauma mama,huku wengine wakisema watahukumu kwenye boksi la kura ila Mimi nipo tofauti kidogo.
Nahisi Kuna Kila dalili Hawa tanesco wanafanya kusudi Ili kumsabotage mama,au wanatumika.
Watanzania tuone mama hafai wakati Kuna mizigo inayopokea mshahara Kwa Kodi zetu inachojua ni kukinga mwisho wa mwezi.
Inaniuma wiki ya nne Sasa hivi sijakamata buku 5 ya pamoja.Upuuzi mtupu.
mama alitoa miezi sita hadi march umeme ukatike tu, sasa wewe unalala nini
 
Ww unawachekea watu kama tanesco wale kama mm wangezalisha umeme hata kwa mkojo wao na mate yao hawakosi visingizio sasa haribikiwa na kitu piga huduma ya wateja wanakupiga sound km yale matapeli leo utapata huduma kumbe hata mwezi unaweza pita bila kupata huduma hovyo kabisa hawa watu
 
Yaani wangekuwa wanatoa hata ratiba ya kukata umeme wao is ingekuwa mbaya kama ilivyo sasa
 
Tanesco ni taasisi useless sana hapa nchini.

Umeme mnakatakata Kila mnapojiskia, mnasingizia mvua.

Mvua Sasa inagonga ya kutosha mnasingizia nguzo.

Kila siku sehemu niliyopo lazima mkate na mbaya zaidi hamna fomula mnakata mnavyojiskia,bila kujua huo umeme hatuutumia tu kuchaji simu Bali ni maisha yetu.

Fikiria kinyozi kama Mimi mnakata umeme saa 12 asubaa Hadi saa nne usiku inamaana nakula vichwa saangapi?

Mtaani Kila mtu anamlauma mama,huku wengine wakisema watahukumu kwenye boksi la kura ila Mimi nipo tofauti kidogo.

Nahisi Kuna Kila dalili Hawa tanesco wanafanya kusudi Ili kumsabotage mama,au wanatumika.

Watanzania tuone mama hafai wakati Kuna mizigo inayopokea mshahara Kwa Kodi zetu inachojua ni kukinga mwisho wa mwezi.

Inaniuma wiki ya nne Sasa hivi sijakamata buku 5 ya pamoja.

Upuuzi mtupu.
🖕
Sorry nilikuwa natafuta emoji ya kuweka like, type error..
 
Pole mzee, lakini humu hamna tanesco 😂
Eneweiiii wewe punguza tu hasira then endelea na mambo yako!!

Threads kama hizi zitakuja ziwakost mpaka hamtaamini macho yenu.
 
Tanesco ni taasisi useless sana hapa nchini.

Umeme mnakatakata Kila mnapojiskia, mnasingizia mvua.

Mvua Sasa inagonga ya kutosha mnasingizia nguzo.

Kila siku sehemu niliyopo lazima mkate na mbaya zaidi hamna fomula mnakata mnavyojiskia,bila kujua huo umeme hatuutumia tu kuchaji simu Bali ni maisha yetu.

Fikiria kinyozi kama Mimi mnakata umeme saa 12 asubaa Hadi saa nne usiku inamaana nakula vichwa saangapi?

Mtaani Kila mtu anamlauma mama,huku wengine wakisema watahukumu kwenye boksi la kura ila Mimi nipo tofauti kidogo.

Nahisi Kuna Kila dalili Hawa tanesco wanafanya kusudi Ili kumsabotage mama,au wanatumika.

Watanzania tuone mama hafai wakati Kuna mizigo inayopokea mshahara Kwa Kodi zetu inachojua ni kukinga mwisho wa mwezi.

Inaniuma wiki ya nne Sasa hivi sijakamata buku 5 ya pamoja.

Upuuzi mtupu.
Samia ndio Tatizo.....TANESCO ni kiwakilishi tu, Umeme karuhusu ukatike katike kwa Miezi Sita...

Hivyo vumilia tu ...ikiisha Miezi Sita atawaagize wakate Miezi mingine 12...


Ame na Wamepungukiwa Maarifa.
 
Back
Top Bottom