Bwawa la umeme Rufiji ni muhimu sana kwa nchi nzima. hivyo tunapaswa wa Tanzania wote kulilinda bwawa lisibomoke kwa kuchangia pesa za fidia ya kuhamisha watu wote wa rufiji maana umeme tunautaka wote Tanzania nzima
Hali ya rufiji ni mbaya.
nawaza tu kwa nini serikali isiwahamishe wakazi wa rufiji.
Hela za kuwaamisha zichangiwe na watumiaji wa umeme wote Tanzania.
Kila kaya inayotumia umeme ichangishwe elfu moja maarufu kama buku. Hela hizo zipelekwe rufiji na kuwalipa watu fidia.
Hali ya rufiji ni mbaya.
nawaza tu kwa nini serikali isiwahamishe wakazi wa rufiji.
Hela za kuwaamisha zichangiwe na watumiaji wa umeme wote Tanzania.
Kila kaya inayotumia umeme ichangishwe elfu moja maarufu kama buku. Hela hizo zipelekwe rufiji na kuwalipa watu fidia.