TANESCO NAO WAANZA KUTEKA WATU

TANESCO NAO WAANZA KUTEKA WATU

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
IMG_3492.png

IMG_3491.jpeg


Familia imetoa habari kamili kuhusu utekaji niliyogusia jana
Kijana Prosper Theonas Mjaly ametekwa Ijumaa tarehe 2 Agosti na kuna watu walifika na Land Cruiser Hardtop ya milango mitatu
Walidai wametoka Tanesco na kwamba mita inaonyesha kuna deni kubwa na kwamba aende polisi kumaliza hili suala. Tokea hapo simu zilizimwa
 
Nao wanakikosi jeshi siku hizi?
 
wana uhakika hao waliokuja walikuwa ni maafisa wa tanesco?
 
View attachment 3062541
View attachment 3062542

Familia imetoa habari kamili kuhusu utekaji niliyogusia jana
Kijana Prosper Theonas Mjaly ametekwa Ijumaa tarehe 2 Agosti na kuna watu walifika na Land Cruiser Hardtop ya milango mitatu
Walidai wametoka Tanesco na kwamba mita inaonyesha kuna deni kubwa na kwamba aende polisi kumaliza hili suala. Tokea hapo simu zilizimwa
Hii taarifa Yako inatia mashaka
 
Watekaji ni wale wale(polisi-CCM e tal) ila mbinu tofauti tofauti
 
Wananchi kwa sasa tujilinde wenyewe hatujui adui ni nani ulinzi shirikishi urudi kwa kasi hakuna kuchukiliwa mtu iwe kazini ama nyumbani bila kushikishwa kwa mwenyekiti wa mtaa na kamanda wa ulinzi shirikishi kujua na kujilizisha wao kwamba unaenda kwenye mikono salama bila hao piga ndulu ya watekaji yaan nao tuanze kuwaua
 
  • Thanks
Reactions: K11
View attachment 3062541
View attachment 3062542

Familia imetoa habari kamili kuhusu utekaji niliyogusia jana
Kijana Prosper Theonas Mjaly ametekwa Ijumaa tarehe 2 Agosti na kuna watu walifika na Land Cruiser Hardtop ya milango mitatu
Walidai wametoka Tanesco na kwamba mita inaonyesha kuna deni kubwa na kwamba aende polisi kumaliza hili suala. Tokea hapo simu zilizimwa


Kwa hiyo kwa akili yako hapo unawahusisha tanesco sababu ya hayo maelezo ? Kweli akili huna, hiyo ilikuwa tu trick ya kuwapata!
 
Kwa hiyo kwa akili yako hapo unawahusisha tanesco sababu ya hayo maelezo ? Kweli akili huna, hiyo ilikuwa tu trick ya kuwapata!
Sina akilo lakini unajibu thread yangu tena kwa ufasaha hapo nani hana akili zaidi?
 
View attachment 3062541
View attachment 3062542

Familia imetoa habari kamili kuhusu utekaji niliyogusia jana
Kijana Prosper Theonas Mjaly ametekwa Ijumaa tarehe 2 Agosti na kuna watu walifika na Land Cruiser Hardtop ya milango mitatu
Walidai wametoka Tanesco na kwamba mita inaonyesha kuna deni kubwa na kwamba aende polisi kumaliza hili suala. Tokea hapo simu zilizimwa
Jeshi la Polisi na Usalama lifanye kazi yake isije kuwa kikundi cha watu kinalichafua
 
Back
Top Bottom