Hangaya anachezewa kekundu ili 2025 ionekane mambo yameharibika sana.Hizo ni Drama- Dkt Hangaya
Hii taarifa Yako inatia mashakaView attachment 3062541
View attachment 3062542
Familia imetoa habari kamili kuhusu utekaji niliyogusia jana
Kijana Prosper Theonas Mjaly ametekwa Ijumaa tarehe 2 Agosti na kuna watu walifika na Land Cruiser Hardtop ya milango mitatu
Walidai wametoka Tanesco na kwamba mita inaonyesha kuna deni kubwa na kwamba aende polisi kumaliza hili suala. Tokea hapo simu zilizimwa
View attachment 3062541
View attachment 3062542
Familia imetoa habari kamili kuhusu utekaji niliyogusia jana
Kijana Prosper Theonas Mjaly ametekwa Ijumaa tarehe 2 Agosti na kuna watu walifika na Land Cruiser Hardtop ya milango mitatu
Walidai wametoka Tanesco na kwamba mita inaonyesha kuna deni kubwa na kwamba aende polisi kumaliza hili suala. Tokea hapo simu zilizimwa
Tutaisha sasa.Mitano tena
Jeshi la Polisi na Usalama lifanye kazi yake isije kuwa kikundi cha watu kinalichafuaView attachment 3062541
View attachment 3062542
Familia imetoa habari kamili kuhusu utekaji niliyogusia jana
Kijana Prosper Theonas Mjaly ametekwa Ijumaa tarehe 2 Agosti na kuna watu walifika na Land Cruiser Hardtop ya milango mitatu
Walidai wametoka Tanesco na kwamba mita inaonyesha kuna deni kubwa na kwamba aende polisi kumaliza hili suala. Tokea hapo simu zilizimwa