Tangu jana kuna maeneo umeme umekuwa ukikatika katika na vipindi virefu bila kuwa na umeme.
Hali hii inatuletea usumbufu sana na kuturudisha nyuma kiuchumi hususan tunaoishi kwa kutegemea umeme.
Vyakula vilivyohifadhiwa kwenye majokofu vinaharibika,vifaa vya umeme pia vinaharibika.Hakuna tamko kutoka Tanesco juu ya hali hii.Inasikitisha sana maana huenda mafundi wameshindwa kutatua tatizo lililopo.
Soma Pia: Wakazi wa Masasi tuna kero ya umeme kukatika mara kwa mara, tunapata hasara TANESCO shughulikieni hilo
Sisi wateja wenu tunahitaji kujua hii hali itakuwa hadi lini ili tujipange.
Inakera sana kuona wahusika hawajali na hali hii ipo muda mrefu
Hali hii inatuletea usumbufu sana na kuturudisha nyuma kiuchumi hususan tunaoishi kwa kutegemea umeme.
Vyakula vilivyohifadhiwa kwenye majokofu vinaharibika,vifaa vya umeme pia vinaharibika.Hakuna tamko kutoka Tanesco juu ya hali hii.Inasikitisha sana maana huenda mafundi wameshindwa kutatua tatizo lililopo.
Soma Pia: Wakazi wa Masasi tuna kero ya umeme kukatika mara kwa mara, tunapata hasara TANESCO shughulikieni hilo
Sisi wateja wenu tunahitaji kujua hii hali itakuwa hadi lini ili tujipange.
Inakera sana kuona wahusika hawajali na hali hii ipo muda mrefu