Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Wiki ijayo jumatatu terehe 29/11, Tanesco watakua na kampeni ya TUNAJIPANGA.
Lengo ikiwa ni kutambua changamoto ambazo wananchi wanazipata kwenye umeme.
Hili naliona ni suala la ajabu, sasa hivi kuna shida kubwa sana ya umeme Tanesco yapaswa wajikite kutatua changamoto hizi za umeme kuliko kuja na hizi kampeni.
Fanyeni juu chini tupate umeme, hayo makampuni hayasaidii kitu.
Sijui ni kina nani wanakuja na mawazo ya aina hii, inastaajabisha na kusikitisha.
Lengo ikiwa ni kutambua changamoto ambazo wananchi wanazipata kwenye umeme.
Hili naliona ni suala la ajabu, sasa hivi kuna shida kubwa sana ya umeme Tanesco yapaswa wajikite kutatua changamoto hizi za umeme kuliko kuja na hizi kampeni.
Fanyeni juu chini tupate umeme, hayo makampuni hayasaidii kitu.
Sijui ni kina nani wanakuja na mawazo ya aina hii, inastaajabisha na kusikitisha.