nawasalimu kwa jina la Jamuhuri kiitikio.......
naomba kujuzwa tatizo la umeme linaloendelea sasa nchini mbona hatuna taarifa rasmi kutoka mamlaka husika au serikali?
kuna mgao??????
MBONA SERIKALAI IKO KIMYA NA KUTUACHA WANANCHI MIDOMO WAZI.
ANEJUA KINACHOENDELEA ATUJUZE HAPA.
naomba kujuzwa tatizo la umeme linaloendelea sasa nchini mbona hatuna taarifa rasmi kutoka mamlaka husika au serikali?
kuna mgao??????
MBONA SERIKALAI IKO KIMYA NA KUTUACHA WANANCHI MIDOMO WAZI.
ANEJUA KINACHOENDELEA ATUJUZE HAPA.