Kimong'onyole
Member
- Dec 2, 2011
- 15
- 34
Leo mechi ya Yanga mmeamua kutukatia umeme tena muda uleule wa mpira kuanza, mmehongwa na wenye kumbi za kuonyesha mipira na starehe mighahawa mikubwa? ili watu waende huko.
Uzi wa tatu huu kuandika kuhusu tuhuma zenu. Waathirika Makorora, Msambweni, Mikanjuni, Duga, Magomeni.
Uzi wa tatu huu kuandika kuhusu tuhuma zenu. Waathirika Makorora, Msambweni, Mikanjuni, Duga, Magomeni.