A
Anonymous
Guest
TANESCO wilaya ya Tarime wamekuwa siyo waadilifu kutekeleza majukumu yao, inashangaza wateja wanalipia toka mwezi wa pili mwaka 2024 mpaka mwezi huu wa nane hawajaunganishiwa umeme!
Ukienda ofisini kuuliza wanakwambia nguzo hazipo ama vifaa vyako havijafika huku wengine wanalipia na wanaunganishiwa umeme ndani ya wiki (kwa rushwa...Kama ni uongo mifumo inazungumza)
Naomba mamlaka husika iliangalie hili, vinginevyo wataendelea kuichafua Serikali yetu pendwa.
Ukienda ofisini kuuliza wanakwambia nguzo hazipo ama vifaa vyako havijafika huku wengine wanalipia na wanaunganishiwa umeme ndani ya wiki (kwa rushwa...Kama ni uongo mifumo inazungumza)
Naomba mamlaka husika iliangalie hili, vinginevyo wataendelea kuichafua Serikali yetu pendwa.