Mzalendo07
Member
- Feb 24, 2014
- 71
- 120
Jamani mpaka inaboa, umeme wanakata masaa 20 ukipiga nguzo imeanguka, haya mara kuna tatizo linashughulikiwa . Haiwezekani maeneo hayohayo yakapata matatizo ndani ya wiki moja. Vitu vyetu vinaharibika.
Lazma kuna uzembe. Tunaomba meneja wa kituo cha TANESCO Tegeta ajitafakari.
Miundombinu ya umeme maeneo ya Boko, Ununio sio mibovu hivyo kusingizia kwa ndiyo sababu.
Meneja fanya kazi yako, kama sio wewe, supervisors wako wanakuangusha, tena wa shift za usiku. Kwa nini matatizo yanatokea usiku tu?
Lazma kuna uzembe. Tunaomba meneja wa kituo cha TANESCO Tegeta ajitafakari.
Miundombinu ya umeme maeneo ya Boko, Ununio sio mibovu hivyo kusingizia kwa ndiyo sababu.
Meneja fanya kazi yako, kama sio wewe, supervisors wako wanakuangusha, tena wa shift za usiku. Kwa nini matatizo yanatokea usiku tu?