TANESCO Tegeta mnakata na kurudisha umeme mara nne ndani ya dk 1, mnataka mtuunguzie kila kitu?

TANESCO Tegeta mnakata na kurudisha umeme mara nne ndani ya dk 1, mnataka mtuunguzie kila kitu?

Black Opal

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2023
Posts
233
Reaction score
298
Mnakata na kurudisha umeme ovyo oyvo namna hii, si mzime kabisa tujue moja?

Mvua yenyewe iko wapi kwa kutufanyia michezo hii? Yaani manyunyu haya ndio matukatia umeme namna hii? Ingekuwa mvua kubwa iliyoambatana na radi si ndio tungepata na shoti nyumba zikawaka moto? Mnapata na kisingizio kabisa cha kuendeleza migao uchwara.

Mlikuwa mnasingizia ukame ndio maana mnakata umeme, haya sasa maji hayo yanafurika bado upuuzi ni ule ule! Mnayaangaza maisha au mnayafubaza?

TANESCO mjitafakari.
 
Mnakata na kurudisha umeme ovyo oyvo namna hii, si mzime kabisa tujue moja?

Mvua yenyewe iko wapi kwa kutufanyia michezo hii? Yaani manyunyu haya ndio matukatia umeme namna hii? Ingekuwa mvua kubwa iliyoambatana na radi si ndio tungepata na shoti nyumba zikawaka moto? Mnapata na kisingizio kabisa cha kuendeleza migao uchwara.

Mlikuwa mnasingizia ukame ndio maana mnakata umeme, haya sasa maji hayo yanafurika bado upuuzi ni ule ule! Mnayaangaza maisha au mnayafubaza?

TANESCO mjitafakari.

Mnakata na kurudisha umeme ovyo oyvo namna hii, si mzime kabisa tujue moja?

Mvua yenyewe iko wapi kwa kutufanyia michezo hii? Yaani manyunyu haya ndio matukatia umeme namna hii? Ingekuwa mvua kubwa iliyoambatana na radi si ndio tungepata na shoti nyumba zikawaka moto? Mnapata na kisingizio kabisa cha kuendeleza migao uchwara.

Mlikuwa mnasingizia ukame ndio maana mnakata umeme, haya sasa maji hayo yanafurika bado upuuzi ni ule ule! Mnayaangaza maisha au mnayafubaza?

TANESCO mjitafakari.
Ndugu mteja pole kwa changamoto hiyo tafadhali tunapenda kufahamu ni maeneo gani mnapata changamoto hiyo tuweze kuwahudumia.^OK
 
Ndugu mteja pole kwa changamoto hiyo tafadhali tunapenda kufahamu ni maeneo gani mnapata changamoto hiyo tuweze kuwahudumia.^OK
Maeneo ya Rabininsia, Kibo, sasa hivi kila siku mnatukatia umeme kama si asubuhi basi usiku
 
Back
Top Bottom