Tanesco ukataji umeme wa ovyo

Tanesco ukataji umeme wa ovyo

tusiwalaumu sana, huenda wana rekebisha miundombinu iwe safi na bora zaidi.
tuwe wavumilimu tupunguze hamaki.
 
Hapa tegeta kwa ndevu giza tupu!
Upo kwa wagogo unakula mishikaki ya mifugo iliyokufa kibudu? Au unasarandia mademu wa kigogo wa Bei poa na kunywa kimoni ya Bei poa? Chunga Sana mitaa hiyo watakuchana na mabisu yao kwani mgeni hathaminiwi hapo!
 
Back
Top Bottom