Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Pale ambapo taarifa inakuja zaidi ya saa baada ya umeme kukata! Walikuwa wanasikilizia kwanza kuona muujiza ama? Nyinyi TANESCO na DAWASA Wizara ya Maji siku hizi hamna maana kabisa.
Mbu kwa kushirikiana na joto, usiku utakuwa mrefu kweli leo!
======
TANESCO wamesema kuwa kukatika kwa umeme usiku wa leo Jumatano Desemba 18, 2024 kumesababishwa na hitilafu katika gridi ya Taifa.
"Shirika linautaarifu umma kuhusu hitilafu iliyojitokeza katika Mfumo wa Gridi ya Taifa leo tarehe Desemba 18, 2024 majira ya saa 06:12 Usiku hitilafu hiyo imepelekea Mikoa inayopata umeme katika Gridi ya Taifa kukosa umeme.
"Timu ya wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kurejesha huduma ya umeme katika maeneo yote yanayokosa huduma ya umeme."
Pale ambapo taarifa inakuja zaidi ya saa baada ya umeme kukata! Walikuwa wanasikilizia kwanza kuona muujiza ama? Nyinyi TANESCO na DAWASA Wizara ya Maji siku hizi hamna maana kabisa.
Mbu kwa kushirikiana na joto, usiku utakuwa mrefu kweli leo!
======
TANESCO wamesema kuwa kukatika kwa umeme usiku wa leo Jumatano Desemba 18, 2024 kumesababishwa na hitilafu katika gridi ya Taifa.
"Shirika linautaarifu umma kuhusu hitilafu iliyojitokeza katika Mfumo wa Gridi ya Taifa leo tarehe Desemba 18, 2024 majira ya saa 06:12 Usiku hitilafu hiyo imepelekea Mikoa inayopata umeme katika Gridi ya Taifa kukosa umeme.
"Timu ya wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kurejesha huduma ya umeme katika maeneo yote yanayokosa huduma ya umeme."