TANESCO uunganishaji huu wa umeme ni sawa?

TANESCO uunganishaji huu wa umeme ni sawa?

Malpighian

Senior Member
Joined
Jan 16, 2015
Posts
139
Reaction score
219
Habari za majukumu Wana JF

Majanga mengi ya moto majumbani na hata katika maeneo mbalimbali ya shughuli za kibiashara( masoko) yamekuwa yakisababishwa na usukaji/ uunganishwaji mbovu wa nyaya za umeme. Hivyo kupelekea kuhatarisha maisha ya watu na jamii inayoizungua.

Picha hii ni moja ya nguzo zilizopo maeneo ya soko jipya mwanjelwa-Mbeya. Je TANESCO hii ni Sawa au tunasubiri mpaka majanga yatokee ndio tuunde tume kwaajili ya uchunguzi wa ajali zinazoweza kuzuilika?

20241128_152749.jpg
 
Habari za majukumu Wana JF
Majanga ya mengi ya moto majumbani na hata katika maeneo mbalimbali ya shughuli za kibiashara( masoko) yamekuwa yakisababishwa na usukaji/ uunganishwaji mbovu wa nyaya za umeme. Hivyo kupelekea kuhatarisha maisha ya watu na jamii inayoizungua.
Picha hii ni moja ya nguzo zilizopo maeneo ya soko jipya mwanjelwa-Mbeya. Je TANESCO hii ni Sawa au tunasubiri mpaka majanga yatokee ndio tuunde tume kwaajili ya uchunguzi wa ajali zinazoweza kuzuilika?
Hii kitaalamu inaitwa krisi krosi ambapo waya zinawasiliana kwa nguvu za mgineti yenye mionzi A1 na kusababisha umeme kuwa stebo at 50Hz perfekiti.
 
Wazo lao ni zuri ila limekosa ufanisi, sasa hivi wamekuwa wakifanya sana hivyo kuepusha uwizi wa kujiunganishia umeme kabla ya metre au kuchezea metre zao.

Sasa wanafanya mambo bila plan kuunga unga utadhania wanaounganisha ni vishoka.
 
Kuna nyumba moja ya kupangisha ina vyumba zaidi ya 10. Nyumba hiyo taa zake za nje zote umeme unawaka mchana lakini hakuna mtu anayejali, iwe mwenye nyumba au hata wafanyakazi wa Tanesco ambao hupita kuelekea kwenye ofisi zao ambazo ziko jirani.
Kinacho nishangaza ni usiku ambapo taa zinapaswa kuwaka haziwaki usiku mzima ni giza. Mchana au aubuhi hadi jioni zinawaka.....Hii imekaaje? ni ule mpango wa vishoka unaoitwa tapping au mmiliki ana deal na wafanyakazi wa tanesco ili apate matumizi ya ofisi ya tanesco ambayo pia umeme unawaka mchana?...... :AYOOO: :AYOOO: :AwkwardFlushed:Nawaza kwa kuweweseka bila majibu!!.🤔:KasugaYeah:
 
Kuna nyumba moja ya kupangisha ina vyumba zaidi ya 10. Nyumba hiyo taa zake za nje zote umeme unawaka mchana lakini hakuna mtu anayejali, iwe mwenye nyumba au hata wafanyakazi wa Tanesco ambao hupita kuelekea kwenye ofisi zao ambazo ziko jirani.
Kinacho nishangaza ni usiku ambapo taa zinapaswa kuwaka haziwaki usiku mzima ni giza. Mchana au aubuhi hadi jioni zinawaka.....Hii imekaaje? ni ule mpango wa vishoka unaoitwa tapping au mmiliki ana deal na wafanyakazi wa tanesco ili apate matumizi ya ofisi ya tanesco ambayo pia umeme unawaka mchana?...... :AYOOO: :AYOOO: :AwkwardFlushed:Nawaza kwa kuweweseka bila majibu!!.🤔:KasugaYeah:
Mkuu hii inafikirisha sana aisee
 
Wazo lao ni zuri ila limekosa ufanisi, sasa hivi wamekuwa wakifanya sana hivyo kuepusha uwizi wa kujiunganishia umeme kabla ya metre au kuchezea metre zao.

Sasa wanafanya mambo bila plan kuunga unga utadhania wanaounganisha ni vishoka.
Hata kama ni kuepusha vishoka mkuu, vipi usalama maana waya hazipo kwenye mpangilio kabisa. Nafikiri kuwe na idadi kadhaa ya meter kwa nguzo moja ili kuepusha uunganishwaji mbovu wa namna hii.
 
Habari za majukumu Wana JF

Majanga mengi ya moto majumbani na hata katika maeneo mbalimbali ya shughuli za kibiashara( masoko) yamekuwa yakisababishwa na usukaji/ uunganishwaji mbovu wa nyaya za umeme. Hivyo kupelekea kuhatarisha maisha ya watu na jamii inayoizungua.

Picha hii ni moja ya nguzo zilizopo maeneo ya soko jipya mwanjelwa-Mbeya. Je TANESCO hii ni Sawa au tunasubiri mpaka majanga yatokee ndio tuunde tume kwaajili ya uchunguzi wa ajali zinazoweza kuzuilika?

View attachment 3164545
itakuwa Mmezidi wizi wa umeme hapo , duu! Ila hii si sawa
 
Back
Top Bottom