Ni kweli ziwa Tanganyika wamo samaki wanaojilinda kwa kutoa umeme, samaki wa aina hii hata baharini wamo na wanatoa umeme unaoweza kuwasha taa ya voti 120 na kuendelea. Chukua tahadhari kaa mbali naye.Leo kwenye pitapita zangu nikakutana na huyu mwamba! Jina lake limenipotea ila nimepata kusikia watu wakimuita TANESCO wa Ziwa Tanganyika.
View attachment 3236641
Wanadai anachezesha shoti za umeme hatari! Je ni kweli kuwa huyu samaki sio wa kumgusa ovyo kama unavyomgusa Sato ama Sangara?
Kumlaz ni zaidi ya volts350+. Yaani mara 3 ya umeme wa nyumbani wa kuwasha tv la chogoNi kweli ziwa Tanganyika wamo samaki wanaojilinda kwa kutoa umeme, samaki wa aina hii hata baharini wamo na wanatoa umeme unaoweza kuwasha taa ya voti 120 na kuendelea. Chukua tahadhari kaa mbali naye.