ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Hali hii ya sintofahamu ilitokea siku ya leo katika ukumbi wa Kuringe Moshi, Ambapo Umeme ulikatika ghafla na kuleta taharuki ya kiusalama Ukumbini.
Ni Vyema Uongozi wa juu wa TANESCO uwe unafanya maandalizi ya ukarabati na kuhakikisha umeme unakuwepo wakati wote pindi Kiongozi Mkuu wa Serikali anapokuwepo mkoa husika
Matatizo ya kukatika Kwa umeme yameendelea kuathiri uchumi wa TANZANIA
Ni Vyema Uongozi wa juu wa TANESCO uwe unafanya maandalizi ya ukarabati na kuhakikisha umeme unakuwepo wakati wote pindi Kiongozi Mkuu wa Serikali anapokuwepo mkoa husika
Matatizo ya kukatika Kwa umeme yameendelea kuathiri uchumi wa TANZANIA