TANESCO Wakipigiwa simu ya dharura wanachelewa au hawatokei kabisa

TANESCO Wakipigiwa simu ya dharura wanachelewa au hawatokei kabisa

Ghost MVP

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2022
Posts
439
Reaction score
736
Habari waungwana!

Mimi bhana nakwazika sana na suala hili hasa wakati wa dharura hawa TANESCO bhana ni wazito mnoo kufika eneo lilipotokea tatizo.

Niliwah pata shida ya Luku, nikapiga simu na nipo karibu na ofisi zao, wakasema watafika ndani ya muda mfupi, cha ajabu nililala giza kiukwel maana hawakutokea nikawapigia asubuhi wakasema watakuja hawakutokea kabisa.

Kuna wakati hawapokei simu kabisa, au unapiga saa 1 wanakuja saa 5. Hii inakwaza na inakwamisha mambo mengi sana,

Je, tunaweza ripoti wapi tusipopata huduma kwa wakati sahihi?.
 
Kibongo bongo kuna vitu hatuvipi uzito. Cha kwanza ni dharura, cha pili ni repair.

Ukiwa na dharura bongo, unaweza ukafa. Na pia sehemu zilizo chini ya serikali, kitu cha kuhitaji marekebisho kidogo ya mapema, kinaweza sababisha hasara kubwa kizembe tu mbeleni
 
Habari waungwana!

Mimi bhana nakwazika sana na suala hili hasa wakati wa dharura hawa TANESCO bhana ni wazito mnoo kufika eneo lilipotokea tatizo.

Niliwah pata shida ya Luku, nikapiga simu na nipo karibu na ofisi zao, wakasema watafika ndani ya muda mfupi, cha ajabu nililala giza kiukwel maana hawakutokea nikawapigia asubuhi wakasema watakuja hawakutokea kabisa.

Kuna wakati hawapokei simu kabisa, au unapiga saa 1 wanakuja saa 5. Hii inakwaza na inakwamisha mambo mengi sana,

Je, tunaweza ripoti wapi tusipopata huduma kwa wakati sahihi?.
Mkuu ungekuwa unajua mazingira wanayofanyia kazi ungewahurumia tu!!una kuta mafundi wako wanne tu kanda nzima na gari moja,unapopiga simu unapewa namba ya taarifa jua kwamba kuna taarifa nyingi tu zipo kabla yako,hapo hapo kuna matatizo kwenye line kubwa ni hao hao!!! Na hawawezi kuacha kwenye shida ya watu wengi waje kwako!!!labda uamue kujiongeza tu,umtafute fundi kama fundi aje kwa ajiri yako tu!!usifanye mchezo unaweza kukaa hata wiki 2 bila kuwaona
 
Kibongo bongo kuna vitu hatuvipi uzito. Cha kwanza ni dharura, cha pili ni repair.

Ukiwa na dharura bongo, unaweza ukafa. Na pia sehemu zilizo chini ya serikali, kitu cha kuhitaji marekebisho kidogo ya mapema, kinaweza sababisha hasara kubwa kizembe tu mbeleni
Ni kweli kabisa. Huduma ya dharura imekuwa ikishuka thamani kutokana na mamlaka husika kutojituma katika hili
 
Mkuu ungekuwa unajua mazingira wanayofanyia kazi ungewahurumia tu!!una kuta mafundi wako wanne tu kanda nzima na gari moja,unapopiga simu unapewa namba ya taarifa jua kwamba kuna taarifa nyingi tu zipo kabla yako,hapo hapo kuna matatizo kwenye line kubwa ni hao hao!!! Na hawawezi kuacha kwenye shida ya watu wengi waje kwako!!!labda uamue kujiongeza tu,umtafute fundi kama fundi aje kwa ajiri yako tu!!usifanye mchezo unaweza kukaa hata wiki 2 bila kuwaona
Hilo sio Tatizo letu, kama Mafundi wachache sisi ndio tuwaajirie?, Na uungwana ni kitu cha bure kabisa kama wanadharura nyingine kwanini hawajawahi hata kupiga simu kama tatizo limetatuliwa ama lah, wanakaa kimywa kwasababu wanajua hawafanywi kitu
 
Habari waungwana!

Mimi bhana nakwazika sana na suala hili hasa wakati wa dharura hawa TANESCO bhana ni wazito mnoo kufika eneo lilipotokea tatizo.

Niliwah pata shida ya Luku, nikapiga simu na nipo karibu na ofisi zao, wakasema watafika ndani ya muda mfupi, cha ajabu nililala giza kiukwel maana hawakutokea nikawapigia asubuhi wakasema watakuja hawakutokea kabisa.

Kuna wakati hawapokei simu kabisa, au unapiga saa 1 wanakuja saa 5. Hii inakwaza na inakwamisha mambo mengi sana,

Je, tunaweza ripoti wapi tusipopata huduma kwa wakati sahihi?.
Sahau kuhusu TANESCO
 
Hilo sio Tatizo letu, kama Mafundi wachache sisi ndio tuwaajirie?, Na uungwana ni kitu cha bure kabisa kama wanadharura nyingine kwanini hawajawahi hata kupiga simu kama tatizo limetatuliwa ama lah, wanakaa kimywa kwasababu wanajua hawafanywi kitu
Ni ofisi gani nchi hii inayojitoshereza wafanyakazi tofauti na bunge?!!utaratibu upo hivi ukitoa taarifa inapokelewa na idara ya huduma kwa mteja kisha inapelekwa idara ya dharura kwa ajiri ya utekelezaji wao wanakuwa wamemaliza,balaa ni huko kwenyeemergencySasasasa watakuulizaje wakati mafundi hawajafika?kwani wakisharekebisha taarifa inatolewa.Yaani yakikukuta ni kuwa mpole tu,njia rahisi ni kutumia njia ya mkato tu.Mfano unaweza kuamini kuwa eneo zima la tabata linahudumiwa na gari moja tu,na mafundi kama wa 4 tu?!!!
 
Ni ofisi gani nchi hii inayojitoshereza wafanyakazi tofauti na bunge?!!utaratibu upo hivi ukitoa taarifa inapokelewa na idara ya huduma kwa mteja kisha inapelekwa idara ya dharura kwa ajiri ya utekelezaji wao wanakuwa wamemaliza,balaa ni huko kwenyeemergencySasasasa watakuulizaje wakati mafundi hawajafika?kwani wakisharekebisha taarifa inatolewa.Yaani yakikukuta ni kuwa mpole tu,njia rahisi ni kutumia njia ya mkato tu.Mfano unaweza kuamini kuwa eneo zima la tabata linahudumiwa na gari moja tu,na mafundi kama wa 4 tu?!!!
Sasa hadi hapo ni kwamba ni uzembe wa mamlaka husika. Yan gari tu za Tanesco ni shida wakati V8 zinajazana mtaana.. Tafadhali sana TANESCO tunaomba mshughulikie hili swala la Taarifa zetu kutoshughulikiwa kwa wakati au muda mwingine hazishughulikiwi kabisa
 
Habari waungwana!

Mimi bhana nakwazika sana na suala hili hasa wakati wa dharura hawa TANESCO bhana ni wazito mnoo kufika eneo lilipotokea tatizo.

Niliwah pata shida ya Luku, nikapiga simu na nipo karibu na ofisi zao, wakasema watafika ndani ya muda mfupi, cha ajabu nililala giza kiukwel maana hawakutokea nikawapigia asubuhi wakasema watakuja hawakutokea kabisa.

Kuna wakati hawapokei simu kabisa, au unapiga saa 1 wanakuja saa 5. Hii inakwaza na inakwamisha mambo mengi sana,

Je, tunaweza ripoti wapi tusipopata huduma kwa wakati sahihi?.
Alafu TANESCO kisa cha kutukatia umeme ovyo ovyo ni nin?!
 
Sasa hadi hapo ni kwamba ni uzembe wa mamlaka husika. Yan gari tu za Tanesco ni shida wakati V8 zinajazana mtaana.. Tafadhali sana TANESCO tunaomba mshughulikie hili swala la Taarifa zetu kutoshughulikiwa kwa wakati au muda mwingine hazishughulikiwi kabisa
Mpendwa mteja tunafurahia kukuhudumia tafadhali tupatie namba yako ya taarifa kwa msaada zaidi ^EB
 
Habari waungwana!

Mimi bhana nakwazika sana na suala hili hasa wakati wa dharura hawa TANESCO bhana ni wazito mnoo kufika eneo lilipotokea tatizo.

Niliwah pata shida ya Luku, nikapiga simu na nipo karibu na ofisi zao, wakasema watafika ndani ya muda mfupi, cha ajabu nililala giza kiukwel maana hawakutokea nikawapigia asubuhi wakasema watakuja hawakutokea kabisa.

Kuna wakati hawapokei simu kabisa, au unapiga saa 1 wanakuja saa 5. Hii inakwaza na inakwamisha mambo mengi sana,

Je, tunaweza ripoti wapi tusipopata huduma kwa wakati sahihi?.
Huwa wanakuja ma magari ya foleni, yakiongozwa na gari lenye maandishi energence. Malori mawili au matatu, yaliyosheheni wafanyakazi wamekaa nyuma.
Kufunga na kufungua wamefunga barabara moja. Wametawanya nyaya njia nzima.
Jamaa wako amazing....Tanzania sio nchi ya kuhama aisee 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom