TANESCO wamejipanga kupata hasara ya Tsh. Trilioni 13.34 kwa miaka mitano ijayo

Mbona hoja yako ipo biased sana, TANESCO ikitaka kuendeshwa kibiashara mtamudu gharama? Yaani wauze Unit moja kwa bei ya zaidi ya sokoni ili wacover operating expenses zote!!?

Kingine faida ya TANESCO ni mtambuka haipimwi kwa taasisi bali kwa uchumi mzima. Mfano kwa wao kuuza umeme chini ya market value wameokoa biashara ngapi mtaani ama wamepunguza operating expenses ya viwanda vingapo Tanzania?

Taasisi za serikali ziko pale kutoa huduma ila wakisema waende kibiashara nyie nyie mtarudi hapa kulia bei kupanda.

Then upo Biased kusema mahitaji ya umeme yataongezeka ila husemi hata vyanzo vya umeme mfano kupita Gesi, upepo, Joto-Ardhi ipo kwenye mpango wa taifa wa miaka 5!?

JF tunaweza kuwa critique wazuri kama tutapunguza biasness.
 
Kilimo ndo kama nchi imeumbwa Jana,

Tunachokonoa tu kama tunachimba dawa.
 
kwan hadi 2025 stiglazi itakua bado haijaanza kazi? maana ile ni power generation ambayo ni costless
 
Chakujivunia ni uzinzi haswaaa mtu akipata cheo chakwanza nikuongeza mchepuko na michepuko kwa kwenda mbele!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilimo ndo kama nchi imeumbwa Jana,

Tunachokonoa tu kama tunachimba dawa.
Ardhi nzuri ina rutuba karibu kila wilaya tumebarikiwa na muumba..sasa badala ya kuwekeza kwenye kilimo cha kimkakati ukiwahusisha vijana wa 18 - 35 kama wadau wako wakuu..wewe unaingiza pesa kwenye biashara ya airline..huku ukiacha group hili likibaki linatuuzia soksi na maji ya uhai na afya mabarabarani..na dawa za nguvu za kiume.
 
Umenena!
 
Ile tozo i bet they make more than a 100B kila mwezi yani😅
Binafsi nawaza ( hizi si takwimu halisi za NBS ni mawzo tu! kwa kutumia kanuni za kihesabu) inaweza kufikia 200 bilioni kwa hesabu hii hapa chini, nitaomba wenye takwimu halisi wanikosoe.

Kwa takwimu za TCRA 2017, tulikuwa natumiaji wa simu 23 milions.

Tuchukue milioni 20 tu wanafanya kwa wastani miamala mitatu kwa wiki inayogharimu kila muamala tozo ya 1200.

Mwezi makusanyo ya tozo = watu 20,000,000 x tzs 1200/ mtu x 3 idadi ya miamala/wiki x 4 wiki/mwezi

= tzs 288,000,000,000/=

Hapo hatujagusa tozo za kibenki.
 
Kiuhalisia 'tunajivunia' kuwepo kwa CCM (zamani Tanu na ASP) madarakani kwa miaka 60. Hayo ndio 'mafanikio' pekee ambayo labda taifa la mazuzu tunaweza kupongeza.

CCM oyeee!
 
Siamini kama mradi wa bwawa la Nyerere ndio unazimishwa hivyo....
Mkuu naamini hautazimwa. Tanesco wanasimamia sana ule mradi na kazi inafanyika usiku na mchana. Ila TAHADHARI NI KWAMBA KAMA ULE MRADI UTAKWAMISHWA NA WATU UKU TUNAONA TUINGIE KWENYE MAOMBI YA UKOMBOZI MAANA ITAKUWA LAANA KUBWA INAITAFUNA TAIFA LETU. NAOMBA MUNGU KILA MWENYE NIA YA KUUKWAMISHA ULE MRADI WATANGULIE JEHANAMU
 
Basi watangaze nafasi ya uwekezaji kwenye umeme waje wawekezaji kama ilivyo solar energy Ili tuchague tujiunge na umeme upi, kweli walioshika uongozi hawapo serious kuleta maendeleo ya Nchi, hivi Nchi inahitaji hela ya kuendesha serikali, maendeleo na akiba ya kizazi kijacho inaingia akilini serikali ipate wateja wa kununua bidhaa kwa wingi tena bila nguvu ya matangazo zaidi ya huduma nzuri kwa wateja alafu unazembea kuzalisha kwa wingi Ili iweje? Na hao wafanyakazi umuhimu wao utakuwa wapi? Kama hawawezi kuleta tija yoyote ya kujivunia?
 
Mkuu serikali za CCM zmefeli kabsaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…