live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 855
- 1,365
Haya mambo tulisha yasahau Baada ya Magufuli kuingia madarakani alikomesha kabisa haya mambo
Kama umeme ulikatika basi ni Kwa sababu za msingi na taarifa ilitokewa
Lakini hili linaloendelea Kwa Sasa umeme kukatika mara 5 Kila siku bila ya sababu zozote za msingi tulisha yasahau haya
Kama ni mgao wa masaa mawili mawili au matatu Kwa Nini hamtoi taarifa?
Kama ni ubovu wa Transformer kwanini msitengeneze miezi yote hiyo?
Alafu Magufuli alipokuwa anakutumbueni mkawa mnasema hafati haki za wafanyakazi
Ukweli ni kwamba hi nchi bila ya kutumbua tumbua mambo hayaemdi
Hapa unaweza kukuta hata meneja wa Tanesco mkoa wa Temeke hajui kama huku Chamazi umeme Kila siku unakatika mara 5 au 6 na hakuna taarifa yoyote
Sasa meneja kama huyo kwanini asitumbuliwe?
Hapa sahizi umeme hakuna Sasa sijui Kuna nguzo imeanguka au Transformer imelipuka
R.I.P Jembe langu
Kama umeme ulikatika basi ni Kwa sababu za msingi na taarifa ilitokewa
Lakini hili linaloendelea Kwa Sasa umeme kukatika mara 5 Kila siku bila ya sababu zozote za msingi tulisha yasahau haya
Kama ni mgao wa masaa mawili mawili au matatu Kwa Nini hamtoi taarifa?
Kama ni ubovu wa Transformer kwanini msitengeneze miezi yote hiyo?
Alafu Magufuli alipokuwa anakutumbueni mkawa mnasema hafati haki za wafanyakazi
Ukweli ni kwamba hi nchi bila ya kutumbua tumbua mambo hayaemdi
Hapa unaweza kukuta hata meneja wa Tanesco mkoa wa Temeke hajui kama huku Chamazi umeme Kila siku unakatika mara 5 au 6 na hakuna taarifa yoyote
Sasa meneja kama huyo kwanini asitumbuliwe?
Hapa sahizi umeme hakuna Sasa sijui Kuna nguzo imeanguka au Transformer imelipuka
R.I.P Jembe langu