A
Anonymous
Guest
TANESCO hatuwaoni wakija kuondoa hizi nguzo na kuziweka pembeni kupisha UJENZI wa barabara wamekaa kimya na hamna wakusema waje kutoa hata viongozi wenyewe hawaongei chochote.
Nini kinafanya wachelewe kuja kuzitoa hizi nguzo?
Nini kinafanya wachelewe kuja kuzitoa hizi nguzo?