No admission
JF-Expert Member
- Nov 26, 2011
- 215
- 68
Wana Jamvi;
Kwa masikitiko makubwa leo nimeongea na customer service wa Tanesco akanihakikishia kuwa hawajui lini mita za LUKU zitapatikana. Nililipia gharama za kuunganishiwa umeme tangia October 2011.
Hivi Tanzania inaelekea wapi? Nimeamua kununua solar panel kwani hawa jamaa watafanya niwe nalala mapema kila siku kukumbia giza.
MUNGU IBARIKI TANZANI NA WAANGALIE VIONGOZI WOTE WALIOTUFIKISHA HAPA
Kwa masikitiko makubwa leo nimeongea na customer service wa Tanesco akanihakikishia kuwa hawajui lini mita za LUKU zitapatikana. Nililipia gharama za kuunganishiwa umeme tangia October 2011.
Hivi Tanzania inaelekea wapi? Nimeamua kununua solar panel kwani hawa jamaa watafanya niwe nalala mapema kila siku kukumbia giza.
MUNGU IBARIKI TANZANI NA WAANGALIE VIONGOZI WOTE WALIOTUFIKISHA HAPA