Huu ni uhuni kama ulivyo mwingine tu. Mambo haya hayakutokea nchi chini ya JPM.
Hivi sasa nchi yote kasoro visiwani Iko gizani.
Usalama wetu majumbani, vilivyoko kwenye majokofu, uzalishaji mali wenye kutegemea umeme, Simu zetu kuwasiliana na wapendwa nk nani anawajibika.
Hii haikubaliki Kwa hakika TANESCO waseme umeme tutegemee lini vinginevyo kuwaburuza wahuni hawa mahakamani hakuwezi kuwa muhani.
Ikumbukwe luku tumelipia, pesa zetu wanazo na kinyume cha makubaliano umeme hawatupi na wametulia tuliii!
Hivi sasa nchi yote kasoro visiwani Iko gizani.
Usalama wetu majumbani, vilivyoko kwenye majokofu, uzalishaji mali wenye kutegemea umeme, Simu zetu kuwasiliana na wapendwa nk nani anawajibika.
Hii haikubaliki Kwa hakika TANESCO waseme umeme tutegemee lini vinginevyo kuwaburuza wahuni hawa mahakamani hakuwezi kuwa muhani.
Ikumbukwe luku tumelipia, pesa zetu wanazo na kinyume cha makubaliano umeme hawatupi na wametulia tuliii!