JPM akiwa kazini vitabia hivyo viliondoka. Kama ndivyo hili lisimwache kigogo ofisini. Ofisini kigogo atakuwa anafanya Nini wakati mwenyewe kasema kachoka kuendelea na safari?Kwani Ndugu hujui mfumo wetu wa manunuzi,kama kuna chakuagizwa kwa ajili ya kutatua tatizo,bila miezi sita,mwaka ikitokea kwa uchache miezi 3,tuagize tutengeneze we kwa kujibu wa mikataba yetu mingi ya mchongo😂😂😂🤸🤸🤸
Acha kulia lia
Umeme upo kabla ya Tanesco
Tanesco imeanzishwa 1964 lakin Franclin kagundua Umeme tangu 1700s
Ukiona Tanesco wakikata umeme huna plan B ya kuwa na Umeme achana na heka heka za Katiba mpya sijui Mkataba wa Bandari pigania kwanza maisha yako na familia yako