KERO TANESCO wekeni mambo wazi kuhusu deni la makato ya luku

KERO TANESCO wekeni mambo wazi kuhusu deni la makato ya luku

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
TANESCO walikanusha suala la makato kuongezeka kutoka elfu 1500 kwenda elfu 2000 ila ukweli
Changamoto Imekuwa kubwa mno, mimi nimekatwa elfu 6000 nimenunua umeme wa 10500 nimekatwa deni elfu sita sijui limetoka wapi hilo deni. Mara ya mwisho nilikatwa elfu 1500 mwezi wa 6 mwaka 2024.

Hata hivyo nimejaribu kuingia kwenye menu ya serikali*152*00# maelezo niliyo pewa ni haya.

Screenshot_2024-07-05-16-28-52-28.jpg
 
Wakulaumiwa sio TANESCO.
TANESCO Ni Kama paka au bundi. Mchawi mwenyewe yupo.
 
Wakulaumiwa sio TANESCO.
TANESCO Ni Kama paka au bundi. Mchawi mwenyewe yupo.
Mchawi ni serikali. Inaibia wananchi wake mchana kweupe. Au ndiyo inajazia kapu lake ili iweze kulipa mishahara ya watumishi ya mwezi July maana nasikia kwa mwezi June walichelewesha kulipa kutokana na kutokuwa na pesa. Ni wizi.
 
Back
Top Bottom