Tanesco yafilisika!!!


Tukianzia na swala la bei Tanesco haina influence na bei serikali ndio inacontrol na hilo wameliweka for political purpose maana umeme ukipanda kunakuwa na spill over effect ya kila kitu kama ilivyo mafuta je CEO ameshindwa nini kuliandikia hili jambo likajadiliwa mbona wauza mafuta wanafumua tu mabei pasina na kuwa na mpango. Huu ni Uzembe wa CEO na Board yake.

Tukija katika procurement kwani nikuulize nani anaaprove procurement za Tanesco kama sio wizara ya nishati na baadhi Tanesco wenyewe je wameshindwa nini kuexercise due diligence? Uzembe CEO na Board na Serikali kwa ujumla.

Kuhusu kuwa private institution kwani wameshindwa nini kupropose Tanesco ikawa private institution? Mbona Idrissa aliweza kujaribu Tanesco ikajiendesha kibiashara kwanini wao washindwe. Lack of vision CEO, Board ndio watu wa kublame.

Influence katika shirika mbona nikuulize Idrissa mbona aliwakatia umeme baadhi ya wizara kwa kutokulipa madeni yao sugu mpaka alipopata guarantee waliwarudushia. This CEO ameshindwa nini? Lack of confidence au ndio siasa za usanii kuweka mambo shwari.

Therest ni siasa tu ila akipatikana mtu strong Tanesco mambo yao yatanyooka hamna zaidi
 
Nini kufilisika bora ife kabisa tuanze moja maana Hili Litanesco sioni hata faida yake umeme wenyewe mgao kila kukicha..aaggrrrr

Kuvuta umeme nguzo moja 1.2 M utadhani ni asset ambayo itauzwa baadae, bado ma bill yasiyokuwa nakichwa wala miguu. Ife sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…