TANESCO

Joined
Jul 26, 2022
Posts
10
Reaction score
19
TANESCO wanatengeneza mazingira ya rushwa ili wakuhudumie, imagine watu walishalipia pesa kitambo ili waunganishiwe umeme lakini wanazungushwa kila siku na hakuna kazi ya maana sana wanayoifanya inayokwamisha wasiwaunganishie umeme watu hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…