Tetesi: TANGA: Basi Laua Wawili na Kujeruhi 21

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,743
Reaction score
25,564
December 12, 2018 by Global Publishers

WATU wawili wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa huku sita kati yao wakiwa na hali mbaya baada ya basi la Royal Classic waliokuwa wakisafiria, kuacha njia na kupinduka eneo la Kibaoni wilayani Lushoto jana Jumanne Desemba 11.



Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Edward Bukombe, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema basi hilo lilikua likisafiri kutoka Tanga kwenda wilayani Lushoto. Amedai chanzo cha ajali hiyo ni utelezi uliotokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika eneo hilo.



“Majeruhi sita kati ya 21 hali zao ni mbaya na wamehamishiwa Hospitali ya Rufaa ya Bombo kwa matibabu zaidi,” amesema Bukombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…