Tanga-Lushoto

mgunda1990

Member
Joined
Jul 19, 2012
Posts
73
Reaction score
4
wapendwa kwa yeyote aliopo halmashaur ya wilaya ya kibaha, anaetaka kuja lushoto,nazungumzia mwalimu tuwasiliane,mimi ni mwl.wa shule ya sekondar jina lushoto,nahtaj kubadilishana na mtu kutoka halmashaur ya kibaha..
 
Mimi walimu mbona siwaelewi, ina maana ili uhame ni mpaka upate mtu wa kubadilishana nae? Nadhani kama hii ndo policy ya wizara, basi siyo nzuri otherwise kama kuna sababu ambazo mimi sizielewi.
 
Osie nzeze uko kuna meho sana mg'oshi?...
 
Mimi walimu mbona siwaelewi, ina maana ili uhame ni mpaka upate mtu wa kubadilishana nae? Nadhani kama hii ndo policy ya wizara, basi siyo nzuri otherwise kama kuna sababu ambazo mimi sizielewi.
Mkuu hapo hujaelewa kp?hyo cyo policy bt n njia rahs ya uhamisho tofaut na nyngnezo uzjuazo,cz hyo n kama kata mti panda mti,bt ukasema uanze kuandka barua tamisemi utang'aka arifu!!
 
mm niko mwanga kilimanjaro nahitaji walimu wa kubadilishana naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…