Mara nyingi nimewasikia watu wakisifia kula au kuliwa tigo, sasa kwa nini wanyama kama mbwa,mbuzi simba hawatumii tigo?
Swali la pili ni kwa nini wanyama dume kwa dume hawafanyi mapenzi pamoja kama Binaadam? Au tuseme hakuna mbwa shoga au simba shoga? Inakuwaje??? Au ndio tuseme wanyama wamewazidi Binaadam kwa akili?
Achana na mwanza kwanza...coz hilo battle la tanga vs mwanza halipo...jikite kwenye mada zaidi.Ndio mkuu mwanza kubwa sasa ukifanya random sample inaonekana masikini ni wengi sana ndio maana ipo katika 5 bora za mikoa masikini , ila kuna watu wanajiweza sana japo wengi utajiri wao unapatikana Gamboshi( nakazia )
Kwan mji gan ulipewa kipaumbele baada ya Uhuru ukiweka kando Dar es salaam?Tanga tumetengwa, Policy mbaya za serikali imeididimiza Tanga. Tuna bandari tuna ardhi kubwa na wakoloni waliupa kipaumbele mkoa wa Tanga kwenye Viwanda ila mzee mchonga akabadilisha hili [emoji22][emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo yote yalihamishiwa Dar es salaam kuwa kama mji wa viwanda baada ya Uhuru. Hata Twiga Cement ilitakiwa iwe Tanga ila propaganda ndizo zilizofanya kipelekwe DarKwan mji gan ulipewa kipaumbele baada ya Uhuru ukiweka kando Dar es salaam?
Kwa nn sahivi mmepitwa hata na miji mingine kando ya dar es salaam?Mambo yote yalihamishiwa Dar es salaam kuwa kama mji wa viwanda baada ya Uhuru. Hata Twiga Cement ilitakiwa iwe Tanga ila propaganda ndizo zilizofanya kipelekwe Dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahaha tunazungumza uhalisia mkuu hakuna battle hapa labda kama tunapingana na DataAchana na mwanza kwanza...coz hilo battle la tanga vs mwanza halipo...jikite kwenye mada zaidi.
Baada ya hapo Tanga haikupewa tena kipaumbele ktk masuala ya uwekezaji wa Viwanda na pia awamu zote zilizopita hazikuweka kipaumbele ktk IndustrialisationKwa nn sahivi mmepitwa hata na miji mingine kando ya dar es salaam?
Mji gani ulipewa kipaumbele kwenye industrialization ukitoa dar?Baada ya hapo Tanga haikupewa tena kipaumbele ktk masuala ya uwekezaji wa Viwanda na pia awamu zote zilizopita hazikuweka kipaumbele ktk Industrialisation
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo uhalisia huo tanga na mwanza neverAhahahaha tunazungumza uhalisia mkuu hakuna battle hapa labda kama tunapingana na Data
Miji gani hiyo ambayo imeipita Tanga ?Kwa nn sahivi mmepitwa hata na miji mingine kando ya dar es salaam?
Mwanza ni masikini sana huo ndio ukweli kwa mujibu wa BOT , wenye pesa ni wachache walalahoi ni wengi mnoNdo uhalisia huo tanga na mwanza never
Acha utotoMiji gani hiyo ambayo imeipita Tanga ?
Nataka kujua mkuu ili tuone ni kwanini imeipita tanga , jibu ni muhimu hapaAcha utoto
Jikite kwenye mada kijana hadi wenzio wanakushangaa sitaki kuipondea tanga mm... Don't force..,Everyone is aware of your city's current situation... Stop acting like a kidMwanza ni masikini sana huo ndio ukweli kwa mujibu wa BOT , wenye pesa ni wachache walalahoi ni wengi mno
Unataka nikufafanulie kwa picha au maelezoNataka kujua mkuu ili tuone ni kwanini imeipita tanga , jibu ni muhimu hapa
Wananishangaa kwa lipi wakati ata Uingereza aliwai kutawala Dunia lakini kwasasa imebaki story , jadili mambo usiogope , maisha ni kupanda na kushukaJikite kwenye mada kijana hadi wenzio wanakushangaa sitaki kuipondea tanga mm... Don't force..,Everyone is aware of your city's current situation... Stop acting like a kid
Nataka Data ili nijue wamenipita nini na kwa kiwango ganiUnataka nikufafanulie kwa picha au maelezo
TangaNataka Data ili nijue wamenipita nini na kwa kiwango gani