HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Ahahahahaahaha umemuoverlap nani ? Ungekuwa umemualaoverlap Tanga katu Mwanza isingekuwa katika TOP 5 ya mikoa masikini Tanzania , Mwanza ni Masikini sana usidanganywe na magorofa kwanza rasilimali haziminufaishi ndio maana umasikini umeota mizizi pamoja na magorofa yote na makampuni yote ukweli utabaki kuwa mwanza haijanufaishi masikini ambao ndio majority, kuhusu miundo mbinu nakwambia Tanga hatuna shida ndio maana baiskeli zipo mjini maana unatembea kwa urahisi , kuhusu PM wa UK kuendesha baiskeli haijalishi ni aina gani muhimu ni baiskeli halafu acha uongo hakuna baiskeli isiyo onekana kijanaWacha kuwaingiza wazungu ww.. Wao wanaendesha mountain bikes ambapo waweza zunguka tanga yote usiione... Ninyi mnaendesha mkulima mlizozifanya daladala... Cheki picha hapo chini ya usafiri wenu... Yaani Tanga lags behind among all cities... Eti maisha nafuu... Songwe wana maisha nafuu zaidi wapo wapi kwan... Mapato,miundombinu,shughuli za kiuchumi ndo zinadetermine potential ya mji au jiji...unafikir banks na services zitakufuata kisa sijui una maisha ya aina gan...kwanza hicho kipimo kipo highly affected na population ya watu... Unasema watu ni masikini huku wamekuoverlap almost mara tatu kwenye mapato... Ni akili hiyo kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Barabara saafi ndio maana ata baiskeli zinatembea , unashangaa baiskeli wakati miji mikubwa duniani kuala lumpa ata usafiri Punda anaingia mjini nimekwambia kujadili baiskeli ni ushamba
UKUSANYAJI wa mapato unakwenda HAZINA halafu ndio bajeti ya nchi inapigwa , hakuna anaekataa kuwa Mwanza kuna kampuni nyingi na vyanzo vingi vya mapato serikalini lakini HIZO ni PESA za serikali sio za MWANANCHI , mnakusanya mapato makubwa wanakula Serikali nyie mnabaki masikini , lakini Tanga tunakusanya kichache kingi tunakula wenyewe ndio maana haipo katika mikoa masikini kaka kupanga ni kuamua , nyie pelekeni kodi serikali muendelee kubakia kwenye TOP 5 ya mikoa masikini shauri yenu , Tanga haitawai wala haijawai kuchungulia au kuwepo katika TOP 5 wala TOP 10 ya mikoa masikini lakini Mwanza ndio nyumbani kwake huko , hivyo hauna cha kujitapa toa kwanza watu katika umasikini ndio magorofa yako yataleta TIJACheki hii ripoti ya jafo na uache kutetea ujinga
MENU
[http://dar24]
MARIAM-ID
[https://i1]
NYUMBANIHABARIBURUDANIAJIRAMICHEZOMAGAZETIZAIDI
[https://i1]
HABARI
Mkoa wa Dar es salaam kinara ukusanyaji mapato
10 months ago Comments Offon Mkoa wa Dar es salaam kinara ukusanyaji mapato
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo amesema kuwa Mkoa wa Dar es Salaam umeongoza kwa wingi wa mapato yaliyokusanywa kwenye mikoa yote kuanzia kipindi cha Julai hadi Machi mwaka huu wa fedha kuwa mkoa huo umekusanya sh. bilioni 118.4.
Ameyasema hayo jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa taarifa ya mapato ya ndani ya halmashauri kwa kipindi cha robo ya tatu (Julai-Machi,2019) kwa mwaka wa fedha 2018/19.
Amesema kuwa mikoa ya Katavi, Rukwa, Kigoma, Manyara na Lindi imeburuza mkia kwenye ukusanyaji mapato ikilinganishwa na jumla ya makisio kwenye halmashauri za mikoa hiyo.
Aidha ameongeza kuwa mkoa wa Dodoma umeshika nafasi ya pili kwa kukusanya wingi wa mapato yaliyofikia sh. bilioni 57.3, ukifuatiwa na Mwanza (sh. bilioni 22.9), Arusha (sh. bilioni 22.8) na Mbeya ukikusanya sh. bilioni 19.8.
“Mikoa mitano ya mwisho kwa kigezo cha wingi wa mapato yaliyokusanywa ni Manyara (sh. bilioni 6.5), Lindi (sh. bilioni 6.1), Rukwa (sh. bilioni 5.8), Kigoma (sh. bilioni 4.5) na Mkoa wa Katavi (sh. bilioni 3.8),” amesema Jafo.
Waziri Jafo amesema kuwa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam nayo imeongoza kwa kigezo cha asilimia ambapo imekusanya asilimia 87 ya makisio, wakati Jiji la Dodoma likiongoza kwa kigezo cha wingi wa mapato kwa kukusanya sh. bilioni 50.
Aidha amesema halmashauri ya jiji la Tanga imekuwa ya mwisho kwa kukusanya asilimia 57 ya makisio yake, lakini pia imekuwa ya mwisho kwa kigezo cha wingi wa mapato kwa kukusanya sh. bilioni 8.7,”
Amezitaja Halmashauri tano za mwisho kwa kigezo cha wingi wa mapato ni Halmashauri ya Wilaya ya Madaba iliyokusanya sh. milioni 293.7 na Halmashauri ya Wilaya ya Newala (sh. milioni 268.3).
Zingine ni halmashauri ya Wilaya ya Kakonko (sh. milioni 238.6), Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe (sh. milioni 177.3) na Halmashauri ya Wilaya ya Momba imekusanya sh. milioni 170.4.
Amesema kuwa Halmashauri ya Mji wa Kondoa imeongoza kwenye kundi la Halmashauri za Miji kwa kigezo cha asilimia ambapo imekusanya asilimia 92 ya makisio yake, huku kwenye kundi hilo Halmashauri ya Mji wa Nanyamba imekuwa ya mwisho kwa kukusanya asilimia 12 ya makisio.
Video: Sugu amuomba kazi Rais Magufuli, aeleza anavyomuunga mkono
CCM Njombe yawataka Watanzania kuulinda na kuimarisha Muungano
LIVE: Ziara ya Rais Magufuli mkoani M
Halmashauri ya Mji wa Geita imeongoza kwa kigezo cha wingi wa mapato kwa kukusanya sh. bilioni 5.9 na Halmashauri ya Mji wa Nanyamba ikiburuza mkia kwa kukusanya sh. milioni 293.9.
Jafo amesisitiza kuwa uchambuzi huo umefanyika kwa kulinganisha makisio ya mwaka wa fedha 2018/19 kwa kushindanisha halmashauri hizo, makundi ya halmashauri na kimkoa.
Hata hivyo amesema kuwa wakurugenzi ambao halmashauri zao zimeshika nafasi ya mwisho ni vyema wakajitathimini kabla serikali haijaanza kuchukua hatua.
Habari kubwa katika magazeti ya Tanzania leo Aprili 27, 2019
Aliyemshtaki R Kelly kwa makosa ya kingono ashinda kesi
Share this:
Click to share on Twitter (Opens in new window)Click to share on Facebook (Opens in new window)Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
Like this:
Loading...
Comments
comments
[http://dar24]
You might also like
[https://i0]
Membe alivyowasili kwenye Kamati ya CCM kuhojiwa
Habari14 hours ago Comments Offon Membe alivyowasili kwenye Kamati ya CCM kuhojiwa
[https://i2]
Video: Yanayojiri Bungeni Dodoma leo Februari 6, 2020
Bungeni/Habari15 hours ago Comments Offon Video: Yanayojiri Bungeni Dodoma leo Februari 6, 2020
[https://i1]
Membe afunguka alivyokipania kikao cha Kamati ya CCM leo
Habari15 hours ago Comments Offon Membe afunguka alivyokipania kikao cha Kamati ya CCM leo
[https://i2]
Kenya kuwarudisha nchini wanafunzi 85 waliopo China
Habari 1 day ago Comments Offon Kenya kuwarudisha nchini wanafunzi 85 waliopo China
[https://i1]
Video: Kilio cha King Kibadeni klabu ya Simba, Yanga , ”Timu zinatawaliwa na wageni sio sawa”
Habari/Michezo1 day ago Comments Offon Video: Kilio cha King Kibadeni klabu ya Simba, Yanga , ”Timu zinatawaliwa na wageni sio sawa”
[https://i0]
Video: HARMONIZE anaweza kuishiwa muda si mrefu? |Video mpya ya MARIOO YAIBUA ajabu lingine
Burudani/Habari1 day ago Comments Offon Video: HARMONIZE anaweza kuishiwa muda si mrefu? |Video mpya ya MARIOO YAIBUA ajabu lingine
Editor Picks
[https://i0]
Kamati za Bunge kujadili taarifa ya CAG
Habari 4 months ago Comments Offon Kamati za Bunge kujadili taarifa ya CAG
[https://i1]
Habari Picha: Rais Magufuli afanya mazungumzo na Mabalozi Ikulu
Uncategorized6 months ago Comments Offon Habari Picha: Rais Magufuli afanya mazungumzo na Mabalozi Ikulu
[https://i2]
Mwalimu mkuu atuhumiwa kumpa mimba mwanafunzi wake
Uncategorized8 months ago Comments Offon Mwalimu mkuu atuhumiwa kumpa mimba mwanafunzi wake
[https://i0]
Makala: Urafiki, uadui wa Osama Bin Laden na Marekani; Al-Qaeda na ‘ushetani’
Habari/Maisha/Makala9 months ago Comments Offon Makala: Urafiki, uadui wa Osama Bin Laden na Marekani; Al-Qaeda na ‘ushetani’
[https://i1]
Makala: Lowassa ataishi vipi na CCM hii? Sababu halisi za kurudi hizi hapa
Habari/Maisha/Makala/Siasa Zetu11 months ago Comments Offon Makala: Lowassa ataishi vipi na CCM hii? Sababu halisi za kurudi hizi hapa
[https://i1]
Mbivu mbichi za Maalim Seif, Prof. Lipumba machi 17, Katakata ya umeme yaanza
Magazeti 12 months ago Comments Offon Mbivu mbichi za Maalim Seif, Prof. Lipumba machi 17, Katakata ya umeme yaanza
POPULAR POSTS
[https://i0]
Video: HARMONIZE anaweza kuishiwa muda si mrefu? |Video mpya ya MARIOO YAIBUA ajabu lingine
[https://i0]
TFF yakanusha kufuta sheria namba 11 ya soka
[https://i0]
Mchezaji wa Uganda afungiwa maisha
[https://i2]
Eric Abidal anusuru kibarua chake FC Barcelona
[https://i2]
Eric Abidal: Tulisitisha kumsajili Aubameyang
[https://i0]
Vigogo kukutana robo fainali ligi ya mabingwa, kombe la shirikisho Afrika
[https://i1]
Video: Kilio cha King Kibadeni klabu ya Simba, Yanga , ''Timu zinatawaliwa na wageni sio sawa''
[https://i1]
Rungu lawashukiwa waamuzi waliofanya fyongo
[https://i1]
Membe afunguka alivyokipania kikao cha Kamati ya CCM leo
[https://i1]
Waziri Mkuu amjibu Mbowe, ''Vyama vya siasa havijazuiwa kufanya shughuli zake''
SUBSCRIBE TO DAR2
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar sio masikini ulishawai ona Dar ikiwekwa kwenye Top 5 ya mikoa masikini ? kwahiyo DAR watu wengi wanamudu kulala magorofani maana walalahoi sio wengi kama MwanzaHaha... Huku ni kushindwa huku... Kwan watu wa dar wanalala kwenye maghorofa ya dar?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata jeans pia tunaiga sasa msuli una shida gani umeanza kuandika vitu vya ajabu , hao waarabu unaowaona wengi ni watu wa Tanga maana wazee wao walikuja kitambo , ushangai Lukaku mbelgiji halafu unashangaa mwarabu kuwa Mtanga acha hizo mkuuWaarabu wameharibu akili zenu mumebaki kuwaiga kuvaa misuli huku wasukuma wakichapa kazi na kujenga jiji lao
Nyie tanga na wilaya zake huwezi kuta hata mtu mweusi pamejaa waarabu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka Tanga ni moja ya majiji kwenye taifa letuEti watanga mlipotelea wapi wazee. Nakumbuka kipindi nipo primary baba alinunulia Atlas. Sasa kwenye ile atlas kama wamechora ramani ya E.A unakuta kwa bongo wamelocate miji muhimu tu, na hiyo ilikuwa Tanga na Dar. Hata darasani sana sana viwanda tulifundishwa vya Dar, Tanga na Mwanza labda. Lakini sasa naona mambo ni tofauti. Tanga umekuwa mji wa kawaida sana. Hata baadhi ya watu wanaanza kuu-underrate. Nauliza Tanga city mlikwama wapi?
Lodi Lofa ni yule jamaa wa Sauzi a.k.a kusini ?umesahau lodilofa...alipoingia madarakani akabinafsisha viwanda vyote vya serikali kwa wawekezaji ...na ndio ukawa mwanzo wa kuua viwanda vyote vilivyopo nchini
Mkuu acha uongo ebu tutajie matajiri 10 tu wa Tanzania kama utakuta msukuma , hivi huu utoto utaacha lini nyie vijana , matajiri wakubwa bongo hapa ni watu wenye asili ya Asia , yaani kumiliki kagorofa au kagari huko kwenu ni Tajiri ? ahahahahahahhaa Ebu njoo hapa ututajie matajiri 10 wa nchi hii uone aibu yako, halafu hao waarabu mbona wapo waliofanikiwa ambao nchi yako itachukua ata miaka 1000 mfano QATAR , U.A.E , Saudia , Oman , Egypt( wanamitengenezea bwawa la umeme) , Morocco( mpaka mmeomba msaada mjengewe uwanja ) sasa sijui unajilinganisha nao vip weweJomba sasa unabisha nini
Msukuma mmoja ni sawa na wagosi million moja
Nyie endeleen kuiga waarabu kuanzia mavazi mpaka tamaduni
Wasukuma ni level nyingine aisee kuanzia tamaduni zake, kuchapa kazi, uchumi, biashara mpaka siasa hata majeshi tumeshika sisi wakati nyie mnafanya kazi za ndan kwa waarabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah kwa viwango vyetuKumbuka Tanga ni moja ya majiji kwenye taifa letu
😄😄huyo huyoLodi Lofa ni yule jamaa wa Sauzi a.k.a kusini ?
😃😃uchochezi huo ujue
Kuwa na adabuWaliwekeza kwenye kuswali,majungu,ushirikina,mapenzi ya kinyume na maumbile ndivyo vimewafikisha hapa walipo leo
Ila amekiri makosa yake ya kipuuzi kwenye kile kijitabu chake[emoji1][emoji1]huyo huyo
haisaidii ....je anaweza kurejesha lost iliyopatikana ...ambayo ili sababishwa na hayo makosa yake ?Ila amekiri makosa yake ya kipuuzi kwenye kile kijitabu chake
Adhabu peke ni kumfirisi tuhaisaidii ....je anaweza kurejesha lost iliyopatikana ...ambayo ili sababishwa na hayo makosa yake ?
Napoteza tu muda kuelewesha mtu kama wwDar sio masikini ulishawai ona Dar ikiwekwa kwenye Top 5 ya mikoa masikini ? kwahiyo DAR watu wengi wanamudu kulala magorofani maana walalahoi sio wengi kama Mwanza
UKUSANYAJI wa mapato unakwenda HAZINA halafu ndio bajeti ya nchi inapigwa , hakuna anaekataa kuwa Mwanza kuna kampuni nyingi na vyanzo vingi vya mapato serikalini lakini HIZO ni PESA za serikali sio za MWANANCHI , mnakusanya mapato makubwa wanakula Serikali nyie mnabaki masikini , lakini Tanga tunakusanya kichache kingi tunakula wenyewe ndio maana haipo katika mikoa masikini kaka kupanga ni kuamua , nyie pelekeni kodi serikali muendelee kubakia kwenye TOP 5 ya mikoa masikini shauri yenu , Tanga haitawai wala haijawai kuchungulia au kuwepo katika TOP 5 wala TOP 10 ya mikoa masikini lakini Mwanza ndio nyumbani kwake huko , hivyo hauna cha kujitapa toa kwanza watu katika umasikini ndio magorofa yako yataleta TIJA
[/QUOTE
Elimu yako tafadhali
Bado unakataa haujazungukwa mara tatuAhahahahaahaha umemuoverlap nani ? Ungekuwa umemualaoverlap Tanga katu Mwanza isingekuwa katika TOP 5 ya mikoa masikini Tanzania , Mwanza ni Masikini sana usidanganywe na magorofa kwanza rasilimali haziminufaishi ndio maana umasikini umeota mizizi pamoja na magorofa yote na makampuni yote ukweli utabaki kuwa mwanza haijanufaishi masikini ambao ndio majority, kuhusu miundo mbinu nakwambia Tanga hatuna shida ndio maana baiskeli zipo mjini maana unatembea kwa urahisi , kuhusu PM wa UK kuendesha baiskeli haijalishi ni aina gani muhimu ni baiskeli halafu acha uongo hakuna baiskeli isiyo onekana kijana
Haipo hiyo kaka nakubali kuwa umenipata baadhi ya vitu lakini kwa UJUMLA wake Mwanza ni masikini kuliko Tanga , haya sio maneno yangu ni tafiti za wenye nchi yao , TOP 5 ya mikoa masikini upo na Mwanza yako , ukizungumza na watu kama mimi huwezi niongopee kwa majengo na madaraja broo jipangeBado unakataa haujazungukwa mara tatu