Tanga raha

Tanga raha

kizibo1

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2015
Posts
1,187
Reaction score
766
4e9233eec46ae91b5f10b56182c48196.jpg
 
Hiyo sio Tanga, Maji ya mdalasini, iliki, pilipili manga, UDI na tangawizi yako wapi? Huko ukiletewa Maji ya kuoga unajiuliza hii ni chain au Maji ya kukoga? Hapo naona midumu tu!!!
 
Wanaume wa mikowani shidaaa, wavivu mpaka kuoga njooni Dar tukufundisheni kufanya mambo wenyewe.
 
ha ha anaogeshwa na mchepuko. hapo usijekuta tayari kakabidhi mshahara
 
Sasa hapo kuna raha gani maana jamaa anaonekana anaogeshwa bila ridhaa yake.hata ukimwangalia tu alivyojikunyata kama maji ya baridi sana.
 
Back
Top Bottom