LGE2024 Tanga: Waziri Aweso ajitokeza kupiga Kura

LGE2024 Tanga: Waziri Aweso ajitokeza kupiga Kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1732715400877.png

Waziri wa Maji na Mbunge wa Jimbo la Pangani Mhe Jumaa Aweso akipiga kura katika uchaguzi wa Serikali za mitaa katika kijiji chake cha Sakura kwaKibuyu Kata ya Kipumbwi jimboni Pangani Mkoa wa Tanga.
 
Back
Top Bottom