Tanganyika Enzi Za Mjerumani mwaka 1885-1918

Tanganyika Enzi Za Mjerumani mwaka 1885-1918

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,743
Reaction score
25,564
Mjerumani asema "Tulia niwapige picha!"
739a552bf32c90935d1f2193891a2619.jpg

Tumetoka mbali!
b5961c83b5d4483237845fa8a1925c35.jpg

Hospitali ya Tanga 1914.
85c6492a0102eb9f16b1c7fe30d8cfb4.jpg

Tanga kulikuwa na mapigano makali 1914.
6fbf6fc493fae186bb1b759c8673b8df.jpg

Hao wanawake walifungwa kama watumwa. Sikuweza kupata maelezo ya kisa cha wao kunfungwa na mnyororo .
707387376919ca52a20a28c23a2bed90.jpg

Ocean Road Hospital ilijengwa na Mjerumani 1897.
4923baca3afab0450c25873f2396ead5.jpg

Zamani ilikuwa kawaida kwa mabibi zetu kutembea vifua wazi. Hii picha ilipigwa maeneo ya Bukoba
ce76f98ae8b8395cdb1e13c74a379d38.jpg

" WHITE HUNTER" Waindaji wa kizungu waliua wanyama wengi kweli bila huruma!
86f4e7259f7639204e6e14462e8f0f05.jpg

Mjerumani alivyowakuta waCHAGGA
2a684f942210b527c9f6436e6eed6956.jpg

Siku njema na wewe unaweza kutupia picha yeyote ile ya kipindi cha utawala wa Wajerumani
 
Duu kumbukumbu nzuri.

Msanii aliefungiwa kwa picha za nusu uchi mitandaoni unaweza kuhisi kaonewa na ushaidi picha hizi kwamba utamaduni wetu ulikuwa kutembea makalio nje na matiti nje kabisa kama vile wasouth Africa wanavyo fanya kwenye sherehe zao za kitamaduni, au video za miziki yao, au kule kwa Mswati na picha zinasambaa hadi TV ya taifa achilia mbali mitandaoni.

Sema ile ya waliberali ya kulazimishana turuhusu watu wa jinsia moja kuoana (nazungumzia wanaume au ushoga) haijawahi kuwa utamaduni wetu kabisa tena inapaswa wafukuzwe nchini.
 
Umejuaje kama huyo jamaa ni mchaga??!!1
Au sababu ya hiyo kitu yake??!!tuwage tunaheahimiana bana
 
Asante sana. Nimeamua kurudi darasa la Kwanza kuunga mkono juhudi Na utendaji kazi wa Mwalimu Matthew aliyenifundisha kusoma Na kuandika
 
Back
Top Bottom