Tanganyika Enzi Za Mjerumani mwaka 1885-1918

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,743
Reaction score
25,564
Mjerumani asema "Tulia niwapige picha!"

Tumetoka mbali!

Hospitali ya Tanga 1914.

Tanga kulikuwa na mapigano makali 1914.

Hao wanawake walifungwa kama watumwa. Sikuweza kupata maelezo ya kisa cha wao kunfungwa na mnyororo .

Ocean Road Hospital ilijengwa na Mjerumani 1897.

Zamani ilikuwa kawaida kwa mabibi zetu kutembea vifua wazi. Hii picha ilipigwa maeneo ya Bukoba

" WHITE HUNTER" Waindaji wa kizungu waliua wanyama wengi kweli bila huruma!

Mjerumani alivyowakuta waCHAGGA

Siku njema na wewe unaweza kutupia picha yeyote ile ya kipindi cha utawala wa Wajerumani
 
Duu kumbukumbu nzuri.

Msanii aliefungiwa kwa picha za nusu uchi mitandaoni unaweza kuhisi kaonewa na ushaidi picha hizi kwamba utamaduni wetu ulikuwa kutembea makalio nje na matiti nje kabisa kama vile wasouth Africa wanavyo fanya kwenye sherehe zao za kitamaduni, au video za miziki yao, au kule kwa Mswati na picha zinasambaa hadi TV ya taifa achilia mbali mitandaoni.

Sema ile ya waliberali ya kulazimishana turuhusu watu wa jinsia moja kuoana (nazungumzia wanaume au ushoga) haijawahi kuwa utamaduni wetu kabisa tena inapaswa wafukuzwe nchini.
 
Umejuaje kama huyo jamaa ni mchaga??!!1
Au sababu ya hiyo kitu yake??!!tuwage tunaheahimiana bana
 
Asante sana. Nimeamua kurudi darasa la Kwanza kuunga mkono juhudi Na utendaji kazi wa Mwalimu Matthew aliyenifundisha kusoma Na kuandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…