isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
Tanganyika takribani karne 4 zilizopita haikuwa na mwenyewe, haikukalika and was purely a virgin land same goes to Namibia (South West Africa) and Cameroon.
The secret behind this ni sababu ya Tanganyika "at that time" ilikuwa ni msitu, maziwa na vito. Pia Cameroon ilikuwa hivyo hivyo while Namibia ikiwa jangwa.
Taratibu watu walianza kujisogeza karne 2 ziliyopita hadi kufika Tanganyika at that time ikiwa na territory ya Rwanda-Urundi watu wengi walitokea Kaskazini Magharibi na Southern Part (Rhodesia) huku Eastern part walitokea Arabian Peninsula na visiwa vya bahari ya Hindi na India pia.
Hadi ujio wa Germany, Tanzania ilikuwa na wahamiaji na watu wachache sana walioloea maeneo ya Southern Part's, North Eastern Part na Northern Western Part nikimaanisha maeneo yanayotambulika kwa sasa kama Tanga, Mbeya, Coast and Sanzibar pia Rwanda na Burundi.
Tactically Tabora ni mji uliotengenezwa at the time na Germany. Huku walowezi waliendelea hadi Walvis Bay, Rehoboth na hadi kufika Windhoek, Namibia. Same kwa Cameroon wali-emerge maeneo ya Adjou.
Ukihitaji kufahamu hili haitaji kuwa PhD holder bali jiulize Tanganyika, Rwanda-Urundi na Sanzibar 1961 ilikuwa na wakazi takribani Million 8.9
Tanganyika (Tanzania) haina wenyewe hii inatokana na tafiti yangu kuonesha maajabu ya watu wa Tanzania kuwa different in type niseme tu ni Spices za watu tofauti.
Utaweza kuona Nigeria ikiwa na watu Million 54 while Southern Africa ikiwa na watu Million 34 back in the days. Utaona Eastern Side haikuwa na watu kabisa.
Karibu,
The secret behind this ni sababu ya Tanganyika "at that time" ilikuwa ni msitu, maziwa na vito. Pia Cameroon ilikuwa hivyo hivyo while Namibia ikiwa jangwa.
Taratibu watu walianza kujisogeza karne 2 ziliyopita hadi kufika Tanganyika at that time ikiwa na territory ya Rwanda-Urundi watu wengi walitokea Kaskazini Magharibi na Southern Part (Rhodesia) huku Eastern part walitokea Arabian Peninsula na visiwa vya bahari ya Hindi na India pia.
Hadi ujio wa Germany, Tanzania ilikuwa na wahamiaji na watu wachache sana walioloea maeneo ya Southern Part's, North Eastern Part na Northern Western Part nikimaanisha maeneo yanayotambulika kwa sasa kama Tanga, Mbeya, Coast and Sanzibar pia Rwanda na Burundi.
Tactically Tabora ni mji uliotengenezwa at the time na Germany. Huku walowezi waliendelea hadi Walvis Bay, Rehoboth na hadi kufika Windhoek, Namibia. Same kwa Cameroon wali-emerge maeneo ya Adjou.
Ukihitaji kufahamu hili haitaji kuwa PhD holder bali jiulize Tanganyika, Rwanda-Urundi na Sanzibar 1961 ilikuwa na wakazi takribani Million 8.9
Tanganyika (Tanzania) haina wenyewe hii inatokana na tafiti yangu kuonesha maajabu ya watu wa Tanzania kuwa different in type niseme tu ni Spices za watu tofauti.
Utaweza kuona Nigeria ikiwa na watu Million 54 while Southern Africa ikiwa na watu Million 34 back in the days. Utaona Eastern Side haikuwa na watu kabisa.
Karibu,