Tanganyika hatuna chetu kwenye mapato na usimamizi wa utalii Zanzibar, hili swala la Mnaijeria linakuwaje la muungano?

Tanganyika hatuna chetu kwenye mapato na usimamizi wa utalii Zanzibar, hili swala la Mnaijeria linakuwaje la muungano?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Inakuwaje watu wa bara wanashadadia, kupambania na kuutetea ugali ambao hawana mgao wake.

Kuna binti mnaijeria alikuja Zanzibar mwaka jana kusherekea birthday yake, she claims that angebakwa isingekuwa kusingizia ana ukimwi ila hata hivyo bado aliibiwa takribani milioni 2.4, alipoenda polisi anadai hakupewa ushirikiano.

Ushahidi kauweka wa picha na video huko twitter kwenye post yake yenye nyuzi zaidi ya 40 juu ya mkasa mzima.

hili swala ni la serikali ya Zanzibar maana wao hunufaika na utalii wa vivutio vyao ambavyo vinasimamiwa na taasisi ya utalii ya serikali ya Zanzibar, kwa ufupi hapa upande wa bara hakuna chetu hapo.
 
Walichukulie kwa uangalifu mkubwa Wanaigeria wanangoza kwa utapeli duniani hapo anatafuta fidia ili ikawe mtaji wa biashara ya madawa ya kulevya.
 
Royal Tour !!!

Habari mbaya inatembea kuliko habari nzuri..., uchunguzi ufanyike na waliohusika kama wapo wafuatiliwe, hata kuonyesha Serikali inajali usalama wa wageni wake ni publicity tosha na yenye tija kuliko video zozote hata kama zinafunguliwa mwezini, huenda hii habari ikapata views kuliko Royal Tour.

Taking care of the basics ni muhimu sana..., Zanzibar ni Tanzania na kama Zanzibar ikioza basi Tanzania imeoza.
 
Nani aliwaambia mtuvamie Na kuwaweka viongozi mnaowataka, vijana wa Mkuranga?

Wacha laana ya kumwaga damu Za maelfu ya watu iwatafune
 
Mkuu hakuna tanganyika wala Zanzibar huko duniani.

Usishangazwe na sijui Rais, mawizara au baraza la wawakilishi. Wakija wanakuja Tanzania na mwenye kutoa visa ni wizara ya jamhuri ya muungano wa Tanzania 🇹🇿

Pamoja na either kweli au si kweli kwa hayo yalotokea kwa sasa lazima kama nchi tupambanie kwa sababu kama tukiacha watalii wasifike huko “tozo” huku bara itaongezeka kufidia gap ya utalii🤒🤒
 
Hili swala sio la Muungano, mimi nipo Twitter kazi yangu ni kukazia tu kua io ni Zanzibar na sio Tanganyika. Tanganyika mambo ni safii kabisa
Endelea hivyo hivyo watalii wasije tena , tupate nafuu maana majambaziy, masenge , miuwaji makahaba imejaa kutoka Tanganyika
 
Endelea hivyo hivyo watalii wasije tena , tupate nafuu maana majambaziy, masenge , miuwaji makahaba imejaa kutoka Tanganyika
Maisha yalivyo magumu saizi, sasa ao watalii wa Zanzibar wanamsaada gani?

Bora wasije tu, ili Zanzibar wabakie na utamaduni wao. Maana unafiki mnaotufanyaa Watanganyika autawaacha salama. Sasa kuna aja gani ya kututuka Watanganyika wote ndugu yangu.
 
Maisha yalivyo magumu saizi, sasa ao watalii wa Zanzibar wanamsaada gani?

Bora wasije tu, ili Zanzibar wabakie na utamaduni wao. Maana unafiki mnaotufanyaa Watanganyika autawaacha salama. Sasa kuna aja gani ya kututuka Watanganyika wote ndugu yangu.
Mamlaka husika huko Zanzibar imeishalitolea taarifa suala hili hivyo tuache mihemko tusubiri taarifa ya uchunguzi ambayo inadaiwa tayari umeishaanza.

Angalizo ni kwamba tuwe makini sana na uchunguzi wetu, tukitilia maanani timing ya haya malalamiko ambayo yanadaiwa kutokea Mwaka mzima uliopita (April 2021). Tuangalie isije ikawa ni vita ya Kiuchumi (Utalii).

Kwa nini taarifa ije sasa wakati ambapo Mheshimiwa anahangaika kuutangaza Utaliii wetu kupitia project ya Royal Tour?
Kea kweli inafikirisha sana na tusishabikie.
 
Hao wabakaji ni machogo kutoka bara. Wanakuja Zanzibar kutafuta vibibi vya kizungu na kuganga njaa.
Ila usisahau hata bibi samia alizungumzia ulawiti na ubakaji Zanzibar kwa watoto wadogo ni janga kuu (kwa maelezo yake na ukizingatia ni ndugu yenu huyo)
 
Maisha yalivyo magumu saizi, sasa ao watalii wa Zanzibar wanamsaada gani?

Bora wasije tu, ili Zanzibar wabakie na utamaduni wao. Maana unafiki mnaotufanyaa Watanganyika autawaacha salama. Sasa kuna aja gani ya kututuka Watanganyika wote ndugu yangu.
Mkuu jitahidi tu kuwaombea ili watalii walete $$ zenji, kumbuka watalii wakisusa “mwakatozo” atakugongea mlango kufidia gap huko mchambawima
 
Ila usisahau hata bibi samia alizungumzia ulawiti na ubakaji Zanzibar kwa watoto wadogo ni janga kuu (kwa maelezo yake na ukizingatia ni ndugu yenu huyo)
Si ndiyo uchafu wenu machogo mnaofanya tangu mvamie Zanzibar mwaka 1964.
 
Inakuwaje watu wa bara wanashadadia, kupambania na kuutetea ugali ambao hawana mgao wake.

Kuna binti mnaijeria alikuja Zanzibar mwaka jana kusherekea birthday yake, she claims that angebakwa isingekuwa kusingizia ana ukimwi ila hata hivyo bado aliibiwa takribani milioni 2.4, alipoenda polisi anadai hakupewa ushirikiano.

Ushahidi kauweka wa picha na video huko twitter kwenye post yake yenye nyuzi zaidi ya 40 juu ya mkasa mzima.

hili swala ni la serikali ya Zanzibar maana wao hunufaika na utalii wa vivutio vyao ambavyo vinasimamiwa na taasisi ya utalii ya serikali ya Zanzibar, kwa ufupi hapa upande wa bara hakuna chetu hapo.
Usiposaidia kuzima moto unaowaka nyumba ya jirani. Utahamia kwako.
 
Si ndiyo uchafu wenu machogo mnaofanya tangu mvamie Zanzibar mwaka 1964.
Hahahah
Si makosa yako, katika kosa kubwa lililofanywa na SMZ ni kufuta somo la historia kwa skuli za huko mwanakwerekwe na jambiani.
Somo la historia lingewafungua bongo na macho kujua madhira mababu zenu walikutana nayo kutoka kwa hao mnaotaka muwape nchi siku tukiondoka visiwani(japo ni ndoto za mchana machogo turuhusu hilo kutokea visiwani)
 
Hahahah
Si makosa yako, katika kosa kubwa lililofanywa na SMZ ni kufuta somo la historia kwa skuli za huko mwanakwerekwe na jambiani.
Somo la historia lingewafungua bongo na macho kujua madhira mababu zenu walikutana nayo kutoka kwa hao mnaotaka muwape nchi siku tukiondoka visiwani(japo ni ndoto za mchana machogo turuhusu hilo kutokea visiwani)
Historia ya makanisa bora ilifutwa ni magumashi matupu
 
Back
Top Bottom