Tanganyika Law Society ilianzishwa na Wazungu mwaka 1954 ikiwa na Mawakili wote Wazungu

Tanganyika Law Society ilianzishwa na Wazungu mwaka 1954 ikiwa na Mawakili wote Wazungu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tunakumbushana tu Kwamba TLS iliasisiwa na Wakoloni kabla Tanganyika haijawa Huru

Ahsanteni

Mlale Unono 😀
 
Tunakumbushana tu Kwamba TLS iliasisiwa na Wakoloni kabla Tanganyika haijawa Huru

Ahsanteni

Mlale Unono 😀
Sio Kila kitu kilichoanzishwa kabla ya Uhuru Ufkri kilianzshwa na Wazungu...

Medical Council of Tanganyika...
MCT (Baraza la madaktari Tanganyika) Ilianzishwa na Watanganyika na mpaka sahz ipo lakinj ilianzishwa kabla ya Uhuru
 
Sio Kila kitu kilichoanzishwa kabla ya Uhuru Ufkri kilianzshwa na Wazungu...

Medical Council of Tanganyika...
MCT (Baraza la madaktari Tanganyika) Ilianzishwa na Watanganyika na mpaka sahz ipo lakinj ilianzishwa kabla ya Uhuru
Haya 😃
 
Tunakumbushana tu Kwamba TLS iliasisiwa na Wakoloni kabla Tanganyika haijawa Huru

Ahsanteni

Mlale Unono 😀
Wakati huo mawakili wazawa walikuwa ni akina nani? Na kwanini hawakuwemo?
 
Hata wakili aliyemtetea Nyerere kwenye kesi yake wakati wa kudai uhuru alikuwa mzungu mbona hukushangaa?MWALIMU Nyerere akitetewa na Wakili maarufu wakati huo kutoka Uingereza, Hayati D.N. Pritt akiongoza mawakili wasomi K.L. Jhaveri na Mahamoud Rattansey.
Nerere.jpg
 
Back
Top Bottom