Tanganyika ni makazi ya wazanzibar lakini zanzibar si hivyo

Tanganyika ni makazi ya wazanzibar lakini zanzibar si hivyo

Ex-Fisadi

Member
Joined
Aug 19, 2009
Posts
79
Reaction score
0
Rais wa pili wa Zanzibar Sheikh Aboud Jumbe anaishi Mji Mwema Dar es salaam, Sheikh Ali Hassan Mwinyi Rais wa awamu ya tatu ya Zanzibar naye anaishi Msasani Dar es salaam, Seif Sharriff Hamad Waziri kiongozi mstaafu na Rais mtarajiwa wa Zanzibar anaishi Dar es salaam! Viongozi wengi wa Zanzibar wanaishi huku kwetu bara. Je Zanzibar hakukaliki? au ndiyo namna ya kuimarisha muungano? Zanzibar wanasema suala la mafuta siyo la muungano, je watanganyika wakisema suala la makazi nalo si la muungano itakuwaje?
 
Mtikila alipigania Wazanzibari wasiajiriwe kwenye Wizara na Idara ambazo sio za Muungano lakini maskini alishindwa kwenye kesi hiyo. Si unajua sera ya changu changu chako changu? Kwa hiyo ni mwendelezo wa sera hiyo. Hata hivyo hako kanchi (kama ni nchi anyway) hakuna sehemu ya kukaa zaidi ya kwenye mikarafuu!
 
Back
Top Bottom