FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kwa bahati mbaya alidhalilishwa mbele za watu kwa kuambiwa eti hajui hesabu moja na moja anasema tatu. Hivi kweli Mzee Jumbe msomi mzima hajui hesabu? Huu uruhani wa Tanganyika ndiyo fitna kubwa ya Muungano, ipo haipo. Lakini akipanda kichwani anasema nipo, sasa inataka kutumia jina letu la pamoja.
-Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman.
Soma zaidi: FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI
-Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman.
Soma zaidi: FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI