Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Jana nilipata flat tyre kwenye ile njia mpya mbezi beach next to tanganyika packers.niliiangalia ile mandahari ya eneo lile la kiwanda kile kwa masikitiko makubwa.ni karibu ekari 200 kama sikosei.ni aibu eneo lile kukaa vile.kwa nini serikali isiamue kupageuza a new central business diatrict kupunguza msomngamano city centre?pale ni sawa na eneo lote toka akiba mpaka ikulu.mwaka 2003 kuikuwa na so much hype wakati sumaye anazindua uwekezaji wa adamjee sijui na ikajengwa fence kubwa then jk alipoingia mdarakani mambo yakasimama tena.nchi hii vipi lakini?