Tanganyika was one of the tensions leading to WW1

Tanganyika was one of the tensions leading to WW1

isajorsergio

Platinum Member
Joined
Apr 22, 2018
Posts
4,143
Reaction score
6,560
Well here again,

German East Africa, or Tanganyka: it is the only non-British territory on the easiest way from South Africa to the Mediterranean. It was one of the tensions leading to WW1, since the British wanted to build the critically important Cape-to-Cairo trans-African railway, while Tanganyika was in the hands of the Germans.

In other side: And also, most of Africa is in ruins because after independence most countries in Africa aligned with the France, Soviet Union, and kept on having coups detat all the time.

Unlike South Africa or Northern Maghreb that didn't got too involved in communist stuff and slowly recovered.
 
Kabla ya WW 1 kulikuwa hakuna nchi iliyoitwa Tanganyika Dunia hii, hivyo siyo kweli ulichokiandika.
 
Kabla ya Uhuru watu walikuwa wanatumia Passports zilizokuwa affiliated na UK ili kuasfiri.
 
Kabla ya WW 1 kulikuwa hakuna nchi iliyoitwa Tanganyika Dunia hii, hivyo siyo kweli ulichokiandika.
Mr. Barbarosa, hakika lakini naaminisha eneo ambalo baadae liliweza kufahamika kama Tanganyika.

Prior I think was German East Africa 😮
 
Kabla ya Uhuru watu walikuwa wanatumia Passports zilizokuwa affiliated na UK ili kuasfiri.
Absolutely! Germany era walikuwa like Germans and British era walikuwa like Britain's.

What a waste! 😢
 
Mr. Barbarosa, hakika lakini naaminisha eneo ambalo baadae liliweza kufahamika kama Tanganyika.

Prior I think was German East Africa 😮


Kabla ya Vita Kuu 1, nchi ya Ujerumani ya AM ilijumuisha eneo letu + Rwanda na Burundi ya leo, kulikuwa hakuna kitu kama nchi ya Tanganyika, Tanganyika ilikuwa jina la Ziwa Tanganyika tu.
 
Kabla ya Vita Kuu 1, nchi ya Ujerumani ya AM ilijumuisha eneo letu + Rwanda na Burundi ya leo, kulikuwa hakuna kitu kama nchi ya Tanganyika, Tanganyika ilikuwa jina la Ziwa Tanganyika tu.
Naam ndio maana naeleza ya kwamba Germans era ilikuwa Germany East Africa ambayo Rwanda-Urundi ilikuwa ndani ya mipaka.
 
Back
Top Bottom