Mimi mzigo upo Songea ndiyo nilipolimia.
Mkuu tangawizi imejaa sokoni wiki ilopita nilichukua mzgo wa majaribio kwenda dar nilishia kukaa nao tu. Nakushaur endelea kutunza ipungue pungueMimi mzigo upo Songea ndiyo nilipolimia.
Mkuu tangawizi imejaa sokoni wiki ilopita nilichukua mzgo wa majaribio kwenda dar nilishia kukaa nao tu. Nakushaur endelea kutunza ipungue pungue
Shukrani kwa ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Unauza sh ngap kwa kilo?Ahsante kwa ushauri