James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Nilitegemea hii sentensi ktk post ya kwanza.Mengine hatuwezi kusema hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] angalau umeanza zungumza lugha moja.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe tena kwa wivu haujambo mbn ulivyoachwa na Yna hatujasema kasoro zako maana umekamilika kila idara . Haya twende tuendeshe gurudumu la udangaji huwez kushindana na papuchi kamweee.
Unavyojieleza kama hakimu wa mahakama ya mwanzo unachojua wewe ni Demiss tu kwa sababu yawezekana kuna kitu nimekuzid haya endelea kutiririka shost ukimaliza nikuvishee deraaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] angalau umeanza zungumza lugha moja.
Mwanaume haachwi hata siku moja, mwanaume anaacha, au ananuniwa kwamuda kisha anaendelea kujilia vitu vitaaamu.
Ukiona mwanaume kaachwa basi labda, hana pesa hana elimu hana kazi hajui kukaza vilivo .lkn km ana kimoja wapo hapo basi ujue haachwi !!!
Ila ukiona mwanamke kaachwa yaan kaachwa ujue Hajui mapenzi,, sio mzuri wa kisura, ana umbo baya, hii nisababu sisi wanaume huwa tubampenda mwanamke kwanza kwa Kuangalia "Sura na umbo" je vinatuamsha kimapenzi?????km haamushi basi unawezatongoza ili usafishe rungu tuuu. Halafu umpige chini au usimtongoze kabisa.
Sasa kwa kesi kama yako....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jichagulie sababu ya jamaa kukuacha....ila acha kusingizia oohoooo alitaka nipate kazi oohooo pesaaa.
Amin nakuambia, ungekua Demu mkaaaaaali... Jamaa asingekuachaa, hata km kaoa, bado angekufanya mchepuko[emoji23][emoji23][emoji23]
Demiss !!!!!!
Mmhhhh muone hahahaha leo mpaka Ulog out kwanza !!!! Wacha niwe hakimu na mwanasheria ...Nimekubali [emoji23][emoji23][emoji23]Unavyojieleza kama hakimu wa mahakama ya mwanzo unachojua wewe ni Demiss tu kwa sababu yawezekana kuna kitu nimekuzid haya endelea kutiririka shost ukimaliza nikuvishee deraaaaaa
Hii nahis ni zawadi yako kwangu hii ChristmasWale wa kushangilia Demiss kupewa talaka semaa oyooooooooo!
Kuanzia leo mm siyo mke wa mtu nipo single kuendesha gurudumu la maishaa.
Sijaachana kwa ubaya na kalumanzila ila alichokihitaji mm niwe na Kazi nzuri inayoniingizia mshahara niwe katika mazingira ya kujiendesha siyo kutegemea mwanamme .
Baada ya kukamilisha yote hayo kwangu ndio akaniambia amefurahi kuona najiweza kimaisha ndo alichopanga kunifanyiaa hicho.
Inaniuma lakini hakuna namna jamani inaumaaa Demiss miyeee sijui nilie kichagaa ila ngoja nivumilie.
Wale waliokuwa hawapendi mahusiano yangu leo watakunywa biaaa wengine watanyaaaa kwa suruali pooh
Na ndo nimeshaachika sasa nitafanyaje sasa jamani khaaa .
Ila mimi siyo wa kwanzaa jamani ila kwa kuwa ni Demiss naonekana wa ajabuu ila sawa tu nakubali mapovu yoteeeeew.
Nyongeza:
Sitaki maswali jamani mtaniumiza rohoo hata mm nina moyoo sina chumaa.
Iiiih nalia mm jamani naliiiiaaaa iiiiih msione naandika hivi nimejikaza kisabuni iiiiiii jamani iiiiiiih uuuuuuuh jamani mm Demiss nitaringa wapi mm eeeeeeeh iiiiiii
Location: Platnum Mapinga. View attachment 975950
Jibu kutoka kwa mshana:::::
From the moment I knew you till we came end of our road, you have been a wonderful woman, a best friend and unique lover   
Nothing last forever, we came to this end with mutual respect and understanding... We were friends, then we become lovers... Now we can still be friends...
We had wonderful moments I will never forget them and I will always honor them with undeleted memories....
Zijapopita siku za furaha tusihuzunike bali tufurahi kwakuwa zilikuwako.... [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Wala usihangaike..huwa nafanya Makusudi kabisaaaaaaaa !!!
au mmeungana nn?? Saizi nko freee kujibu !!!
Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee yaani imekuwa ni Breaking of December, The Two Enchanted Love Doves Go Separate Ways for the New Year (Joking).
Nb
Usikute hawa jamaa wanafanya hivi watizame upepo wa jf unaendaje ili wawajue wabaya wa mahusiano yao hahaaaaaaaaaaaaaaaa
Yan una wivu utazan ulikuwa unabanduliwa wewe haya tiririka shogaaa anguuuMmhhhh muone hahahaha leo mpaka Ulog out kwanza !!!! Wacha niwe hakimu na mwanasheria ...Nimekubali [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila ukweli utabaki kua uo, ungekua ni demu mkali kwelikweli, guu guuu, kalioo kalioo. Sura sura kweli, shape matata ......jamaa asingekuacha.
Subiri ,siku ujue demu wake mpya, ukijilinganisha, utagundua kua wee ni wakufatwa Usiku...mwenzako anafatwa Mchana kweupeeeeeeeee!!!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mdangaji wa kiume huyo nishamzoeaaaa tunadanga wotee Jf ataachaje kuwa na wivvu na kuniandikia gazetiNiungane na nani mie
Mapenzi ya wawili yanichoshe kuandika gazeti?
Hapana hiyo nguvu bora niitumie kutafuna gums
Hivi uhusiano wenu umedumu kwa muda gani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]